Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
Namuonea huruma huyo mtunza kitabu.

Mwaka huu watatumbua mpaka wazikaji.....!!
 
Imekupata kunakostahili ndiyo maana povu limekutoka. Mpaka minyoo imekorogeka. Ungekaa kimya ningekasirika sana!
au fanya 50000 mjumlishe na mzee mmoja wa kwenu hapo[emoji23][emoji23][emoji23].nyumbu kilema wewe.
 
nyumbu mnaona ngumi,yeye anaona mahangaiko yao.
Screenshot_2020-05-11-16-48-30-486_com.twitter.android.png
 
Watu wengi tu wameondoka mkuu. Ila tukisema inaonekana tunazusha. Ngoja na wengine waseme japo wataitwa mabeberu. Wangemsifia jiwe pasingetosha hapa
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all

Watanzania tumekuwa wa hovyo sana, hatuwezi tena kushinda hii vita!

Watu wanasimamia uchama na siasa, matokeo yake tutayaona.

Kuna jamaa yangu nae alikuwa ndiyo wale wale, bahati mbaya alipo pakavamiwa na huyo mdudu, kazika wenzie alipoanza kushtuka siku tatu nyuma ananiambia hii ngoma kweli siyo, tutakufa nae tumemzika!

Alibanwa kifua nusu saa mbali hatunae! Hatari
 
msiwapangie watu kufikiri kama nyinyi.

au mnadhani kila mtu mpumbavu!!!!!

Matusi ni sehemu ya salamu zao.

Tumekuona bila shaka wewe ni mmoja wao. Hautupi pressure wala nini.

Wahi buku 7 na bonus ya tusi.
 
Bora vyombo vya kimataifa sasa vitumike kueleza nini kinaendelea hapa nchini ili watu wajue hali halisi ikoje.
 
TAtizo sio waziri tayatizo ni magufuli mwenyewe
Inji hii!!!!

Hivi kwanini waziri mkuu asiamke tu akataja idadi kubwa ya wagonjwa na vifo kisha akanyamaza kimya ili awaridhishe watanzania wanaotaka kujua idadi kisha waje na hoja mpya.
Kila kitu inji hii kiko na siasa motive kuibua ushindi na ushindwa
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
Wewe ndio mpumbavu hao watz wa huko fb ni wana akili sana kuliko nyie mmejificha na majina fake hapa kumbe kichwani weupe kabisa

Hivyo vyombo vya kimagharibi vinaona tz kuna vifo kuliko hata USA na UK?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiyo ilikuwa terehe ngapi vile ?Sasa washafika 10,000.
 
Back
Top Bottom