mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
dunia mpaka sasa imeonyesha wazi kwamba haina haja kuendelea na lockdown,hii ina maana kila nchi imeamua kuachia corona na kudaka uchumi.Meko sio mjinga , akili anazo sema maamuzi ayapange vizuri.
Mfano wakati ule anasema tidalimiaane kwa miguu angepiga chini ndege zote za abiria maana yake hakuna mtu kuingia , leo hii Tanzania ingekua salama salmini na hata hizi barakoa tusinge zivaa.
Sasa kinacho fanyika sasa ni bahati na sibu kuokoa uchumi kwa sababu bila kodi miradi karibia yote itasimama.
Kwa bahati mbaya tena wale anaowaletea jeuri ndio wanao mdai na wanao mkopesha.
Kwa vyovyote vile uchumi lazima utayumba kwa sababu mara zote Tanzania itaonekana not certified on covid19
Hajachelewa kuanza kuucheza muziki wa dunia, na akaokoa uchumi.
Jambo moja analo weza fanya ni kuwa kuingia mji wowote lazima barakoa.
Na awe mstari wa mbele ili dunia ijue mzee kaokoka na anashiriki jambo hili kwa ukamilifu.
Mwisho atoke chato .
Sent using Jamii Forums mobile app
corona ni kama nyuki anayeuma ukiwa umebeba sufuria la maji ya moto(uchumi).uachie ili kumpiga wakati keshakuuma,umwage maji ya moto nayo yakuchome,au uache akuume ufikishe sufuria chini bila kuungua.
yah just simple like that,na tutaimba kwa pamoja na magufuli ni swala la wakati tu.tena si zaidi ya wiki mbili zijazo.