Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Kama umeangalia video walikua wanaelekea sehemu na alikua na njia nyingi kueleza Mambo yake ikiwemo kuomba nafasi kwenye kikao au mkutano. Huko mbele kulikua na mkutano tu ila ameamua kuropoka. Angesikilizwa tu jamaa yangu na alichokifanya ameipa familia kazi tu.Hiyo ni njia moja wapo ya kudai haki
Na imetumika sehemu nyingi duniani
Unafikiri ukidai haki kwa kubembeleza utasikiliZwa
Ova