NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Uzi wakitoto huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!
Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.
Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.
SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?
= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?
= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?
= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?
= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?
Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.
Alicharazwa na nani mkuu'.Kwahiyo ni sahihi mbwatukaji alivyocharazwa risasi kumbe mnapenda kuua viongozi nyie chadema.
Kibwengo 👿👿👿Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!
Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.
Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.
SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?
= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?
= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?
= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?
= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?
Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.
Sawa, basi ntamchapa babu yake na bashite, vijana wa mjini mnamwita banzastone!
Utakuwa unamaanisha kajiwe wewe!Mimi kuna Mmoja ningemchapa, ila kwa ninavyomjua alivyo na Mihasira na Yeye pia angenigeuka na Kuanza Kunipiga na Kuamuru niuwawe upesi.
Kama ni wao wewe imekuwaje umejitokeza humo.Nashauri viongozi waendelee kucharaza viboko maana huu uzi machadema wote wamesema watachapa viongozi bakora HAKUNA hata mmoja anayesema ni kinyume na Sheria.
Ugeuze uwe wa kikubwa ingekuwa vyema.kwani mawazo ya kitoto yanawafaa watoto zaidi.Uzi wakitoto huu.