Mwananchi ungeambiwa kuchapa kiongozi kiboko, ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

Mwananchi ungeambiwa kuchapa kiongozi kiboko, ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!

Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.

Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.

SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?

= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?

= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?

= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?

Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.

Wateule wengi wanafanya kazi kwa mizuka ya kumfurahisha JIWE ,hawana weledi wowote wa kazi....Wachache sana ambao wanajielewa na wamejikita katika kazi.(Kama Anthony Mtaka kidogo ana strategies katika mkoa wake).
 
Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!

Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.

Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.

SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?

= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?

= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?

= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?

Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.
Kibwengo 👿👿👿
 
Yaani ningemchapa jamaa mmoja hivi ile inaitwa Super Six, akipangusa makalio tu nafutaa!! Ananikera balaa!! kwanza sijui kwa nini corona imeshindwa kumpitia.... Mungu nisamehe ila kazidi sana huyu jamaa.
 
Ningemchapa lisu viboko sita jamaa aliamua kuwakumbatia Sana mabeberu.

Ningemchapa zito viboko vinne kwa sababu aliamua kupiga kampeni world bank tunyimwe mikopo.

Ningemchapa viboko viwili Mnyika kwakua kakataa wabunge wa viti maalum chadema kwenda Bungeni.
 
Kuna mmoja huyo ningecharaza za mgongoni hadi kichwani...
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Zenji Madevuu ashike kiatu tandika sawasawa kosa kuwa king'ang'anizi bilatija
kwa bara jobu ni dom mjengoniii yule chalii mfupi namwingiza chini yameza anakula mboko zakutosha mpaka mwanya wachini uzibe kumaliza viubabe vyake vyakishuleshule.
 
Nashauri viongozi waendelee kucharaza viboko maana huu uzi machadema wote wamesema watachapa viongozi bakora HAKUNA hata mmoja anayesema ni kinyume na Sheria.
Kama ni wao wewe imekuwaje umejitokeza humo.
 
Dogo hapa anasema Ndali sijui anamaana gani huyu dent
 
Back
Top Bottom