To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yupo sahihi...siyo utani...Acha msihara mkuu,toa maoni!
Mtoto anasutwa mpaka ugonjwa unakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi...siyo utani...Acha msihara mkuu,toa maoni!
Mchinjie mbuzi, na uwape wazee chakulaWana jukwaa, naomba ushauri.
Mwanangu wa mwaka 1 na nusu kila akilia anakauka mpaka anazimia, na hali hii imekuwa ikijirudia kila anapolia kabla ya kurudi katika hali ya kawaida. Kwa kifupi, inanitisha sana kwani sijui shida ni nini.
Je, hii ni hali ya kawaida kwa watoto au inahitaji matibabu ya haraka?
Sidhani kama inakutisha kwani siku ya kwanza tu ungeshaenda hospitalini. Kweli kuna watu mna roho ngumu. Mtoto analia leo mpaka anazimia, kesho tena na tena, na bado umekalisha makalio nyumbani unakimbilia kwenye keyboard kuulizia?Wana jukwaa, naomba ushauri.
Mwanangu wa mwaka 1 na nusu kila akilia anakauka mpaka anazimia, na hali hii imekuwa ikijirudia kila anapolia kabla ya kurudi katika hali ya kawaida. Kwa kifupi, inanitisha sana kwani sijui shida ni nini.
Je, hii ni hali ya kawaida kwa watoto au inahitaji matibabu ya haraka?
Ni kweli, ila sio kukauka na kuzimia? Ni kuwa huwa muda wote analia tyuuh,Niliwah sikia hii Kwa mama mmoja anasema alivokuwa mdogo alikuwa na hali siziso za kawaida had walipombadilisha jina hiv ni kweli?
Kweli hii ya kukauka sijawahi sikia nasikiaga ni kuliaNi kweli, ila sio kukauka na kuzimia? Ni kuwa huwa muda wote analia tyuuh,
Ndo anabadilishwa jina.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unamshaurijeNi jamii ya Al shabab iyo hasira zake akiwa mkubwa ana weza leta maafa
Kweli kabisaaa, sasa huko kwetu wanamkalisha km kikao wanamkanya/kumkemea na jina wanampa jipya 😂😂Niliwah sikia hii Kwa mama mmoja anasema alivokuwa mdogo alikuwa na hali siziso za kawaida had walipombadilisha jina hiv ni kweli?
Mwenyewe nimeshangaa hapo kukauka na kuzimiaKweli hii ya kukauka sijawahi sikia nasikiaga ni kulia