DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jaribu kuvaa kiatu cha mhusika, mambo haya yanafikirisha:;

1: Mhusika wa hilo tukio kufichwa asijulikane na mama wa mtoto, inaonyesha dhahiri hawana utu kuanzia uongozi wa shule


2: Anayetakiwa kumwadhibu mtoto ni mkuu wa shule kulingana na sheria walizowekewa, hapa mkuu wa shule ni namba 2 kwenye hii ishu baada ya aliyetenda hili tukio


3: Ripoti ya daktari nayo ina namna ya rushwa, ufanyike uchunguzi mwingine na madaktari wenye utu


Likimshinda waziri mkuu wa nchi anapitapita huku pia atasaidia familia hii haki kupatikana
ebu nenda kagoogle dalili za kansa ya damu , Acha ubishi wa kipumbav , nmewai kuwa mwl na nmeona mengi sana kuliko ufikiriavyo , adhabu kwa mwanafunzi wa kiafrika haiepukiki , huyo mtoto hajafa kwa fimbo ya mwalimu , ACHA UBISHI ELEWA , HUYO KIJANA AMMEANGUKIWA NA JUMBA BOVU , TUPENDE KUPIMA AFYA ZETU , KUTEMBEA BILA KUYUMBA HAIMAANISHI WW NI MZM , MNAENDA HARIBU MAISHA YA KIJANA WA WATU WKT MADAKTARI WASHAMALIZA KAZI YAO

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
ebu nenda kagoogle dalili za kansa ya damu , Acha ubishi wa kipumbav , nmewai kuwa mwl na nmeona mengi sana kuliko ufikiriavyo , adhabu kwa mwanafunzi wa kiafrika haiepukiki , huyo mtoto hajafa kwa fimbo ya mwalimu , ACHA UBISHI ELEWA , HUYO KIJANA AMMEANGUKIWA NA JUMBA BOVU , TUPENDE KUPIMA AFYA ZETU , KUTEMBEA BILA KUYUMBA HAIMAANISHI WW NI MZM , MNAENDA HARIBU MAISHA YA KIJANA WA WATU WKT MADAKTARI WASHAMALIZA KAZI YAO

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Uliacha ualimu ukakimbilia fani ya u doctor napo huja fit bado. Au kijana ndio nduguyo au ndio umeandika hiyo ripoti?
 
Kwa hiyo mtoto hakupigwa? Wewe unafikiri kwanini walimpa pesa na kutaka kuyamaliza? Hivi unafikiri watu tu wajinga?
mama alisema hana ela ya kumpeleka hospitali ulitaka wafanyaj ? hv watu weusi nan amewaloga ? hiyo ela si ndo imefungua hatua za kwanza za kwenda kulijua ttzo la mtoto ? PIMENI WATOTO WENU KABLA YA KUWAKABIDHI WALIMU , NAZIPONGEZA BAADHI YA SHULE HAZIPOKEI MTOTO WAKO BILA REPORT YA VIPIMO VYA AFYA

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeeleza kila jambo hawa wanadhani sisi wajinga! Halafu wakamdanganya na elfu ishirini hahahaha
hv ww ulichapwa fimbo ngap ? umewai fariki ? tumieni akili na heshimuni report ya daktari , KCMC sio kituo cha afya ? dalili alizokuwa nazo mtoto tangu awali hazihusiani na fimbo za mwl , dalili ni kansa ya damu tupu , KAMA HUJAWAI KUWA MWL HUEZ ELEWA , NMEPITIA HUKO , HAO WATU WANAFANYA KAZ KWENYE MAZINGIRA MAGUMU SANA , WAKIADHIBU WATOTO WANALALAMIKIWA , WATOTO WAKIFERI WANALALAMIKIWA , WATOTO WENYEW MNAWAJUWA BILA FIMBO HAWAENDI

hakuna mwl anampiga ngumi mtoto wa drs la kwanza , kuweni serious aseee , tengeneza picha muonekano wa mtoto wa drs la kwanza , ww unaeza mpiga ngumi? msizani nyie ndo mna hutu tu halaf walimu hawana hutu

mwl wa field angekuwa mkorof bas wazaz wa sehem husika wangeleta fujo tu


KIKUBWA PIMENI WATOTO ZENU AFYA , HUYO KIJANA WA WATU MSIMWALIBIE MAISHA KWA UZEMBE WENU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya kusikiliza upande wa pili sidhani kama alio ya andika yote yako accurate, ila pole sana kifo cha mtoto wako kisikie kwa mgine tu kinauma sanaa, .......ila hi stori is not adding up, post mortem report ndo final official report inao pelekwa hata mahakamani kuja kui-challange sio jambo raisi.
kabisa ingawaj anasema aliambiwa mtoto alikuwa na kansa ya damu , je kama alikuwa haamini majibu ya daktari , kwann hakuchukua hatua kipindi hicho ?

HUYU MZAZI ANATAKA TUMIA KIFO CHA MTOTO WAKE KAMA MTAJI KWAKE

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mbona wewe hukufichwa? Hoja hapa ni mtuhumiwa ni nani? Kwanini mwalimu mkuu kamficha kabla hata mtoto hajafa maana alimpa na pesa ya matibabu akamtibu mtoto na kumuomba kuwa ataongea na mhusika.
mwl. mkuu hakujuwa ukubwa wa ttzo , kwann unatumia taarifa ya upande mmoja halaf kwann hutak jikita pia kwenye majibu ya daktari wa mwisho kuwa ana KANSA YA DAMU

HUYU MAMA ANATAKA TUMIA KIFO CHA MTOTO WAKE KAMA MTAJI , HAPA ANATAFUTA HAKI GANI ZAID YA ELA TU ?

PIMENI WATOTO WENU KABLA HAMJAWAKABIDHI KWA WALIMU , ILI KUEPUKA KUWAHARIBIA MAISHA WALIMU KAMA HV MNAVYOTAKA MWARIBIA MAISHA KIJANA WA WATU .

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
mwl. mkuu hakujuwa ukubwa wa ttzo , kwann unatumia taarifa ya upande mmoja halaf kwann hutak jikita pia kwenye majibu ya daktari wa mwisho kuwa ana KANSA YA DAMU

HUYU MAMA ANATAKA TUMIA KIFO CHA MTOTO WAKE KAMA MTAJI , HAPA ANATAFUTA HAKI GANI ZAID YA ELA TU ?

PIMENI WATOTO WENU KABLA HAMJAWAKABIDHI KWA WALIMU , ILI KUEPUKA KUWAHARIBIA MAISHA WALIMU KAMA HV MNAVYOTAKA MWARIBIA MAISHA KIJANA WA WATU .

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Ushawahi kumpiga ngumi ya tumbo mwanao akiwa na miaka sita?
 
kabisa ingawaj anasema aliambiwa mtoto alikuwa na kansa ya damu , je kama alikuwa haamini majibu ya daktari , kwann hakuchukua hatua kipindi hicho ?

HUYU MZAZI ANATAKA TUMIA KIFO CHA MTOTO WAKE KAMA MTAJI KWAKE

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
We ni mpumbavu, kwaku wa huna mtoto ndio maana huna uchungu hata kidogo. Utasa sio kosa lako dada, endelea kumuomba Mungu utabarikiwa na wewe, siku moja utakuwa na uchungu na matukio kama haya.
 
Unajua kosa ni kwamba watoto wengi huletwa mashuleni bila kufanyiwa thorough medical check up kwa chronical disease, sidhani kama mualimu anaweza kupiga ngumi ya tumboni mtototo wa miaka 7.
yaaan humu kuna wajinga wengi , ukisoma story ya huyo mtoto mpk mauti ni kama huyo mama anataka tumia mauti ya mwanae iwe mtaji wake kiuchumi , anampa presha mwl mkuu amuweke wazi mwl wa field ( hii ni kosa pia ) ili mwl wa field aje ampooze huyo mama , ila ukwel anaujuwa kuwa mwanae alikufa kwa KANSA YA DAMU na dalili alikuwa nazo .

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kcmc wameruka kesi na kusingizia cancer, kwanini report yao inakinzana na hospital ya awali, waseme ukweli

Huu ni ukatili sana unampigaje mtoto wa darasa la kwanza ngumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliacha ualimu ukakimbilia fani ya u doctor napo huja fit bado. Au kijana ndio nduguyo au ndio umeandika hiyo ripoti?
umezoea ushabiki wa kijinga na hupend kusimama na ukwel , kiukwel nyiny mnafanya walimu wasifanye kaz yao kikamilif , mwaka 2016 walimu wa tarafa ya mlimba waligoma kutoa adhabu kwa watoto ila walikuwa wanaingia darasani wanafundisha na kutoka kwa mwaka huo mzm na matokeo ni Tarafa ya Mlimba iliifanya Wilaya ya kilombero kuwa wilaya za mwisho kbs ktk matokeo ya drs la 7 mwaka huo

HESHIMU MAJIBU YA DAKATARI , KCMC SIO KITUO CHA AFYA

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom