Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hii ni hatari sana na Mwl mkuu huyu anapaswa kujuta kuleta wapumbavu kama hawa shuleni!Duh pole Sana, sasa mtoto wa darasa la kwanza na namba wapi na wapi
Yani mtu unakuwa na stress hadi unampiga ngumi mtoto wa darasa la kwanza ngumi? Aiseee hii ni mbwa sio mwalimu!Pole sana dada kwa hili hawa watu wanaoitwa waalimu ni shida sana
Mwalimu wa field? Huyo ni mwalimu wa aina gani. Mwalimu mkuu bado yuko madarakani?
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inataka kupindishwa.
Tar.28/02/2024 mwanangu alienda shuleni akiwa mzima. Alipofika aliadhibiwa kwa kuchelewa "namba". Alipoingia darasani alianza kutokwa damu puani na mdomoni. Akarudishwa nyumbani. Nilipomkagua nikamkuta na majeraha yaliyovilia damu mgongoni, kwenye mbavu na mguuni.
Kesho yake nikaenda nae shuleni kutaka kuoneshwa mwalimu aliyemfanyia ukatili mwanangu. Lakini Mwalimu mkuu akaomba nibaki nje. Akaingia na mwanangu ofisi ya walimu na kumtaka amtambue Mwalimu aliyemuadhibu. Mwanangu akamtanbua. Mwalimu Mkuu akaniambia wameshamfahamu ni mwalimu wa "Field" hivyo atazungumza nae.
Wakanipa 20,000/= za matibabu. Nikampeleka mwanangu zahanati. Kesho yake akazidi kutoka damu, na kulalamikia maumivu sehemu za mbavu. Nikampeleka hospitali ya masista. Daktari akaniambia bandama imejeruhika ndio sababu ya kutoka damu mdomoni. Mtoto alidai pamoja na viboko alivyochapwa, Mwalimu pia alimpiga ngumi tumboni. Huenda ndiyo iliyopasua bandama.
Hali yake ilizidi kuwa mbaya tukapewa rufaa kwenda KCMC. Akatakiwa kufanyiwa upasuaji. Gharama 350,000/= lakini sikuwa nayo. Nikapiga simu shuleni wakasema tuombe afanyiwe halafu watalipa baadae. Hata hivyo kabla hajafanyiwa hali yake ikazidi kuzorota, akashindwa kupumua, akawekwa kwenye Oxygen. Akashindwa kula, akawekewa mpira wa chakula. Baada ya siku chache akafariki 😭.
Lakini ripoti ya hospitali inasema mwanangu amekufa kwa kansa ya damu. Kansa gani ya damu inayomuua mtoto kwa wiki mbili? Na kwanini hiyo kansa itokee baada ya kuadhibiwa shuleni? Kwanini Mwalimu aliyemuadhibu mwanangu anafichwa, na sipewi haki ya kumfahamu?
Nalazimishwa nichukue maiti nikazike lakini nimekataa. Nataka uchunguzi huru. Nimeenda dawati la jinsia kulalamika nikapuuzwa. Nimepiga simu kwa Waziri Dorothy Gwajima akanipa namba ya mtu wa kunisaidia. Nilipopiga kumbe ni yuleyule Mkuu wa dawati la jinsia aliyenipuuza. Nikamrudia Gwajima akasema niwasiliane nae huyohuyo. Nimekosa pa kulilia haki ya mwanangu Jonathan
Huyo sio mwalimu ni mbwa tuuu! Yani huyu ni kula nae sahani moja…..hapa ndio naoma umuhimu wa kuroga huyu anatakiwa kufanywa awe ana jikojolea tuu muda wote….Kuna walimu ni vichaa, miaka 7 unampiga ngumi....hata kama angekua na 30 viboko si vipo kama kuna ulazima wa viboko.
Pumzika kwa amani toto, pole sana mzazi 😢
Hakuna wa kuthibitisha ilo, na sidhani kama alimpiga ngumi sina hakika, nadhani madaktari hawafanyi kazi kwa hisia, bali uchunguzi na mahakamani wanaangalia hasa report ya daktari.Lakini walimu unampigaje mtoto wa darasa la kwanza mangumi..
Poleni wafiwa.
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inataka kupindishwa.
Tar.28/02/2024 mwanangu alienda shuleni akiwa mzima. Alipofika aliadhibiwa kwa kuchelewa "namba". Alipoingia darasani alianza kutokwa damu puani na mdomoni. Akarudishwa nyumbani. Nilipomkagua nikamkuta na majeraha yaliyovilia damu mgongoni, kwenye mbavu na mguuni.
Kesho yake nikaenda nae shuleni kutaka kuoneshwa mwalimu aliyemfanyia ukatili mwanangu. Lakini Mwalimu mkuu akaomba nibaki nje. Akaingia na mwanangu ofisi ya walimu na kumtaka amtambue Mwalimu aliyemuadhibu. Mwanangu akamtanbua. Mwalimu Mkuu akaniambia wameshamfahamu ni mwalimu wa "Field" hivyo atazungumza nae.
Wakanipa 20,000/= za matibabu. Nikampeleka mwanangu zahanati. Kesho yake akazidi kutoka damu, na kulalamikia maumivu sehemu za mbavu. Nikampeleka hospitali ya masista. Daktari akaniambia bandama imejeruhika ndio sababu ya kutoka damu mdomoni. Mtoto alidai pamoja na viboko alivyochapwa, Mwalimu pia alimpiga ngumi tumboni. Huenda ndiyo iliyopasua bandama.
Hali yake ilizidi kuwa mbaya tukapewa rufaa kwenda KCMC. Akatakiwa kufanyiwa upasuaji. Gharama 350,000/= lakini sikuwa nayo. Nikapiga simu shuleni wakasema tuombe afanyiwe halafu watalipa baadae. Hata hivyo kabla hajafanyiwa hali yake ikazidi kuzorota, akashindwa kupumua, akawekwa kwenye Oxygen. Akashindwa kula, akawekewa mpira wa chakula. Baada ya siku chache akafariki 😭.
Lakini ripoti ya hospitali inasema mwanangu amekufa kwa kansa ya damu. Kansa gani ya damu inayomuua mtoto kwa wiki mbili? Na kwanini hiyo kansa itokee baada ya kuadhibiwa shuleni? Kwanini Mwalimu aliyemuadhibu mwanangu anafichwa, na sipewi haki ya kumfahamu?
Nalazimishwa nichukue maiti nikazike lakini nimekataa. Nataka uchunguzi huru. Nimeenda dawati la jinsia kulalamika nikapuuzwa. Nimepiga simu kwa Waziri Dorothy Gwajima akanipa namba ya mtu wa kunisaidia. Nilipopiga kumbe ni yuleyule Mkuu wa dawati la jinsia aliyenipuuza. Nikamrudia Gwajima akasema niwasiliane nae huyohuyo. Nimekosa pa kulilia haki ya mwanangu Jonathan
Hapo sasa.Lakini walimu unampigaje mtoto wa darasa la kwanza mangumi..
Kimsingi siwezi kutoa lawama sana kwa waziri kwa sababu kimsingi awezi fanya kila kazi mwenyewe anapaswa kusaidiwa lakini anachotakiwa kuhakikisha wanao msaidia wawe active na wawe ni wenye uelewa na utu sio wajinga wajinga,jeuri ,kibri na dharau …dawati linapaswa liwe na watu wenye utu!Kama imefikia hatua Waziri anarusha mpira kwa mtu aliye chini yake kwa tukio la kikatili na kupelekea mauaji kwa namna hii basi nchi haina uongozi.
Inaumiza sana kuuliwa mwanao alafu walioshika mpini wanalindana, haki mzazi achana na hiyo maiti hadi haki ipatikane vinginevyo ukiibeba umeruhusu jinai kuwa haki.
Wanasema ukifikiri umeshaona kila kitu au kusikia kila kitu una jidanganya pengine hujatembea au bado una umri mdogo!Hivi Kuna mwalimu anaweza kukapiga ngumi katoto ka miaka 7
Pole mama.
Naitwa Janeth Shayo, mkazi wa Uru, Moshi. Naomba unisaidie kupaza sauti mwanangu Jonathan Makanyaga (07) mwanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Mrupanga, ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inataka kupindishwa.
Shida ni umaskini jamani huyu mtu alicho jali mwanzo ni uhai na afya ya mtoto hakujua kama yange pelea haya!Pole mama.
Umasikini ni aghari, mama kitu cha kwanza haukutakiwa kuipokea hiyo shs. 20,000/=, kwa kifupi shule ilitumia udhaifu huo kukusukumia mzigo wewe mzazi, mzazi ulitakiwa ukaripoti polisi kwa hatua za kisheria badala ya kujadiliana na shule, pia shule ilitakiwa ichukue jukumu la matibabu ya mwanao wewe ukiwa msindikizaji tu. Udhaifu wa kupokea ile pesa ili umpeleke hospitali ndiko kulikoifanya shule ikuambie gharamis upasuaji watakurudishia pesa zako, kwa kifupi walijitoa kwenye tatizo hilo.
Mama hapo Moshi ipo mamlaka ya wizara ya elimu inayosimamia shule zote, pia yupo mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa ambao ulitakiwa uende ofisini kwao kuwajulisha kuhusu tatizo hilo.
Mwisho ulitakiwa upate ripoti ya kina mobiTuki yaani postmortem ya maiti. Hii postmortem inakuwezesha kufungua kesi ya jinai dhidi ya shule na mwalimu.
Mwisho, kabla ya kupeleka tatizo lako kwa Waziri anza na viongozi wa mkoani mwako, vinginevyo utadhani unakosa msaada kumbe ni njia ambazo si sahihi unazotumia.