carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
DED anahojiwa anakuambia amefuatilia mpaka shuleni kabisa amejiridhisha bila shaka mtoto amefariki kwasababu ya cancer aisee!!
Aiseh[emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DED anahojiwa anakuambia amefuatilia mpaka shuleni kabisa amejiridhisha bila shaka mtoto amefariki kwasababu ya cancer aisee!!
Hicho kichaka cha kansa ni cha kipumbavu. Suala hapa ni mtoto alipigwa au la? Kama alipigwa ni kwa kiwango gani? Mnajificha na ugonjwa wa mtoto?mbona hapo juu wameeleza kuwa dalili za kansa ya damu ni pamoja na matatizo ya kwenye bandama
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
sasa Heshimuni majibu ya KCMC , huyo mama kama anagomea majibu na anataka majibu yake kuwa mwl ndo kamuua mwanae bas aje na vipimo vyakeBado haujasema, kituo cha afya nacho kina watu wenye taaluma sawa na wa KCMC kinachotofautisha ni hadhi ya sehemu husika na vifaa
Suala sio kumpooza huyo mama suala ni iwapo kuna mwalimu anafanya ukatili kwa watoto anafichwa.ndo ujiulize huyo mama sasa hv anataka nini iwapo mwanae hatupo nae duniani ? na majibu ya daktari yanasema NI KANSA YA DAMU , je kwann haamini haya majibu ? tuanzie hapo ndo tuje kwenye ana nini cha kumpooza huyo mama
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Na tutasimama naye hadi mwishosasa Heshimuni majibu ya KCMC , huyo mama kama anagomea majibu na anataka majibu yake kuwa mwl ndo kamuua mwanae bas aje na vipimo vyake
HAWA WAZAZ WAKIPOTEZA WATOTO WAO PENDWA BASI LOLOTE LINALOWEZEKANA KULIFANYA LIWE SABABU HULISIMAMIA MPK MWISHO
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
kupiga ngumi na kuchapa vinafanana ? hoja ya mama bandama imeharibika kisa kapigwa ngumi na michirizi mgongoni , je WEWE UNAWEZA mpiga ngumi mtoto wa drs la kwanza NGUMI ? Ebu onesha utimamu wakoUjinga mwingine huu. Kwa hiyo mtoto hakupigwa?
hahahaa ila we jamaa ni sufuriiiMajibu ya dakAtari mwenye D MBILI hayawezi kuheshimiwa.
Yamepimwa katika uzani na kuonekana ni majibu ya kanjanja yasiyo na uzito wowote wa kitabibu.
Huyo daktari akamatwe na anyang'anywe leseni yake kwa kosa la kuwa na vigezo duni vya kitaaluma na kudhihirisha ukanjanja mahala pa kazi.
Sijui ilikuwaje huyu mwizi wa vyeti akakoswa na rungu la Magufuli. I wonder my dear. [emoji81][emoji81]
Cc Lamomy
unapoandika kitu uwe na uthibitisho , wenzio wamempima ww unataka majibu yako na huyo mama yako , nan jipu hapo?KCMC nayo ni Jipu, inatumika vibaya.
Hayo ni matokeo ya uongozi mbovu katika shule....walimu wanashindwa kusimamiana na kuchunguzana kila mmoja anafanya atakavyoYani mtu unakuwa na stress hadi unampiga ngumi mtoto wa darasa la kwanza ngumi? Aiseee hii ni mbwa sio mwalimu!
kuna ushahidi hata wa picha ?Vipi kuhusu michirizi ya viboko mgongoni?
Anataka majibu yasiyo na shaka. Yeye kaona majeraha ya fimbo, hospital ya kwanza wamesema mtoto bandama limepasuka na mtoto kasema alipigwa ngumi. anataka kujua ukweli. Hivi wewe angekuwa mwanao ungetoa majibu mepesi kama haya?ndo ujiulize huyo mama sasa hv anataka nini iwapo mwanae hatupo nae duniani ? na majibu ya daktari yanasema NI KANSA YA DAMU , je kwann haamini haya majibu ? tuanzie hapo ndo tuje kwenye ana nini cha kumpooza huyo mama
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani sikujui, ila kwenye hili funga mdomo wako kaa kimya, na uache KCMC Ijibu shutuma zake., Ikiwezekana Hii ID ichunguzwe wewe utakua mmoja wa wauwaji.unapoandika kitu uwe na uthibitisho , wenzio wamempima ww unataka majibu yako na huyo mama yako , nan jipu hapo?
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
mtatuzi wa mwisho ilikuwa majibu ya hospitali , je majibu kuanzia hatua ya kwanza yalisemaj mpk anafika kcmc ? majibu ya awali ni kuwa bandama ineharibika na alipofika kcmc wakamwambia ana KANSA YA DAMU ambapo dalili yake pia ni bandama kuharibika , lkn huyo mama anabishana na majibu ya kote huko na kwa maelezo ya huyo mama alipewa ela tu wala hawakundikiza hospitalini ili wakafodge majibu vzr , sasa huyo mwalimu alikuwa anaenda kuedit majibu au vp ?Ujinga ujinga tu na kupuuza mambo. Vaa viatu vya huyo mzazi halafu ujiulize kama iwapo ungeona ni sawa kutokusikia maelezo ya huyo mwalimu. UJINGA. We unaona ni sawa huyo mwalimu kutokuhojiwa?
Hehehe. Nyie madktari wenye D MBILI ni vituko, hamjafuzu umahiri wa kitabibu ndio maana mgonjwa wa majeraha ya mwili anaambiwa ana KANSA!hahahaaa we jamaa kichwan mtupu kama mwijaku
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Uliwahi kuona ile video ya mtoto anapigwa na house maid Uganda? Mtoto wa miaka 2 au 3 hivi? Anapigwa mangumi na mateke kama mwizi? Kama kitu hujawahi kuona usiseme hakiwezekani. Dunia imejaa makatili ambao mtoto wako kwao ni kama paka tu wanaweza kumpiga hata panga akafie mbali.kupiga ngumi na kuchapa vinafanana ? hoja ya mama bandama imeharibika kisa kapigwa ngumi na michirizi mgongoni , je WEWE UNAWEZA mpiga ngumi mtoto wa drs la kwanza NGUMI ? Ebu onesha utimamu wako
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Makonda anafaa kwenye hiyo kesi tena huyo mwenye mtoto sijui kashindwa nini kumtafuta bwana makonda maana angeenda hata na baiskeli kwenye hiyo issueMakonda ndo mahakama anatoa haki? Mkuu jitafakari
mwl hakufichwa ndio maana aliingia ofisini na mtoto na kutaka kumjuwa mwl aliyefanya hivyo na kitaaluma mwl mkuu alifanya jambo jema sana , kibaya ni kuwa mwl.mkuu hakujuwa ukubwa wa ttzo , ila sio kila jambo lzm umseme.mwl mbele ya mzaz kwanza unaua CONFIDENCE pili unamweka MACHINJIONI kwa wazazi yaani kumuweka wazi mbele ya mzaz ni htr kiuslama hata kwa mwl husika akiwa kwenye makaz ya raia , huyo mwl mkuu katumia akili nyingi sana kukuzidi ww .Mwalimu anasemaje? Maelezo yake kuhusu hizo tuhuma. Alimpiga mtoto hakumpiga? Kwanini alifichwa hata kabla mtoto hajafariki?
unabishana na report ya madaktari ? soma bandiko uelewe , hao walimu huenda hata hawakujua hatua zote hizo mtoto kapitia ila nyiny ndo mnajiongezea story vichwanAiseh[emoji15][emoji15]
Wewe unaye mponda makonda ulishawai toka kuzaliwa kumsikia mtanzania yoyote akimlilia jakaya mrisho kikwete kuhusu dhuruma yoyote? Wewe unadhani kwa nini ? Kikwete yupo kwenye majumba na makusanyiko ya matajiri mafisadi na mabeberu anagonga grass tu ...je unadhani kwanini makonda au kipindi cha jpm unadhani kwanini wao na siyo wengine?Makonda ndo mahakama anatoa haki? Mkuu jitafakari
mtoto wa drs la kwanza unaeza mpiga ngumi ?Hicho kichaka cha kansa ni cha kipumbavu. Suala hapa ni mtoto alipigwa au la? Kama alipigwa ni kwa kiwango gani? Mnajificha na ugonjwa wa mtoto?