Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

Inatesa akili sana,baadhi ya wadada huficha maginjwa ya kurithi waliyonayo kwao.Bora mtu awe muwazi,ijulikane kama unamkubali hivyohivyo au laa.Imewahi kunitokea kwenye mahusiano.Mtu hasemi,hadi nikaja kufanya jitihada zangu mwen
Hapo hata km ni mm sisemi saabu najua kifatacho. inachotakiwa km mmepanga kuishi mume na mke kabla hamjaanza uzazi mkapime wote wawili hospitali uko mtaambiwa km ni salama au mtazaa watoto wenye matatizo huko mbeleni.

sasa kibongobongo mnabebana tu mnakuja kushtuka mna watoto 3-4 hlf wote ndo km hivi. kifupi tunafanya mambo kwa kubahatisha sana hlf yakishaharibika tunamsingizia muumba ndo alivopanga, hlf maisha yanaendelea
 
Kapime kama kweli wewe ni carrier wa huo ugonjwa, kama sio basi itakuwa umepigwa. Lea mtoto ukitambua wewe ni social father ina Baraka sana kwa Mungu.
 
Ninavyojua sickle cell anaemia ni ugonjwa unaorithiwa kutoka kwa vizazi vya pande zozote mbili baba au mama.Ugonjwa huu husababisha mgonjwa kukosa nguvu na kupata maumivu ya viungo hasa mifupa kutokana nauzalishwaji duni wa seli hai nyekundu.
Tiba
Ugonjwa huu matibabu yake ni kuongezewa damu salama kwa mgonjwa au kufanya transplantation ya bonemarrow.
Kuna aina mbili za seli mundu
1. Partial hii hutibika kidogo sana kwa mgonjwa kutumia mboga za majani kwa wingi ,kula vyakula vya protini,vitamin na kutumia dawa za folic acid.
2.Severe SCD Hii maibabu yake ni kuhamisha damu na/au kufanya matibabu ya bone marrow na huenda mgonjwa asipone kabisa akizembewa.
Chukua ushauri huu alafu pambana mtoto apate muafaka
 
Huo ni uchochezi wangu, mtu anatafuta tiba ya maradhi wewe unaleta mambo ya kupima vinasaba?
Itamsaidia kujua huo ugonjwa upo kwake au kwa mama mambo ya kurithi kama wote hawana wajiongeze sasa uskute unaingia kwenye janga la maisha kisa mtoto wa mtu mwingine
 
Sorry in advance because this might sound rude 🙏🏽

Nimeona watu wengi wanakuelezea tatizo lakini wanakwepa kukupa huu ushauri.

Wewe na mkeo si vizuri kuendelea kuwa pamoja sababu kuna chance kubwa ya kupata watoto wengine wenye sickle cell mbeleni (Heredity).

Mwezi February tumetoka kuzika mtoto wa mama mdogo alikua na sickle cell (kafariki akiwa binti mdogo wa miaka 19) binti huyu maisha yake yote alikuq mgonjwa mgonjwa na maisha yake yote ilikua kila siku ni anumwa.

Mama mdogo alizaa watoto wanne wa kiume wawili na wa kike wawili. Watoto wake wote wa kike walizaliwa na sickle cell.

Nchi zilizoendelea watu wakiwa kwenye hatua za kufunga ndoa au uchumba hupima vinasaba kwa wataalamu hivyo hushauriwa kama wanafaa kuendelea na mchakato wa kujenga familia au laa.

Mkuu kwa jinsi nilivyowashuhudia hawa watoto walivyohangaika na mama yao jinsi anavyoumia akiwaangalia watoto wake walivyokua wanateseka napata kigugumizi namna ya kukushauri.

Mkuu mipango yote hupangwa na Mungu lakini nafasi bado unayo ya kurekebisha hili.

Kuzaa watoto wenye Sickle cell,au Haemophilia wanateseka sana kwenye ukuaji wao nafasi bado unayo ya kupata solution ya tatizo hili. 🙏🏽
 
The only cure for sickle cell disease is a blood and bone marrow transplant. However, this treatment is not for everyone. Many patients with sickle cell disease do not have a relative who is a close enough genetic match to be a donor. The best chance of success is for patients who have a closely matched sibling donor. Bone marrow transplants are most effective in children who have well-matched donors.
There are also effective therapies that can minimize symptoms and prolong life. For example, a medicine called hydroxycarbamide (hydroxyurea) may be recommended for people who continue to have episodes of pain.
A clinical trial found a new gene therapy to be safe and successful in four patients. The makers of two gene-based treatments for sickle cell disease are hoping for regulatory approval this year......from Bard (Google)
Natamani kujua gharama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry in advance because this might sound rude [emoji1431]

Nimeona watu wengi wanakuelezea tatizo lakini wanakwepa kukupa huu ushauri.

Wewe na mkeo si vizuri kuendelea kuwa pamoja sababu kuna chance kubwa ya kupata watoto wengine wenye sickle cell mbeleni (Heredity).

Mwezi February tumetoka kuzika mtoto wa mama mdogo alikua na sickle cell (kafariki akiwa binti mdogo wa miaka 19) binti huyu maisha yake yote alikuq mgonjwa mgonjwa na maisha yake yote ilikua kila siku ni anumwa.

Mama mdogo alizaa watoto wanne wa kiume wawili na wa kike wawili. Watoto wake wote wa kike walizaliwa na sickle cell.

Nchi zilizoendelea watu wakiwa kwenye hatua za kufunga ndoa au uchumba hupima vinasaba kwa wataalamu hivyo hushauriwa kama wanafaa kuendelea na mchakato wa kujenga familia au laa.

Mkuu kwa jinsi nilivyowashuhudia hawa watoto walivyohangaika na mama yao jinsi anavyoumia akiwaangalia watoto wake walivyokua wanateseka napata kigugumizi namna ya kukushauri.

Mkuu mipango yote hupangwa na Mungu lakini nafasi bado unayo ya kurekebisha hili.

Kuzaa watoto wenye Sickle cell,au Haemophilia wanateseka sana kwenye ukuaji wao nafasi bado unayo ya kupata solution ya tatizo hili. [emoji1431]
Nimechukua ushauri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry in advance because this might sound rude 🙏🏽

Nimeona watu wengi wanakuelezea tatizo lakini wanakwepa kukupa huu ushauri.

Wewe na mkeo si vizuri kuendelea kuwa pamoja sababu kuna chance kubwa ya kupata watoto wengine wenye sickle cell mbeleni (Heredity).

Mwezi February tumetoka kuzika mtoto wa mama mdogo alikua na sickle cell (kafariki akiwa binti mdogo wa miaka 19) binti huyu maisha yake yote alikuq mgonjwa mgonjwa na maisha yake yote ilikua kila siku ni anumwa.

Mama mdogo alizaa watoto wanne wa kiume wawili na wa kike wawili. Watoto wake wote wa kike walizaliwa na sickle cell.

Nchi zilizoendelea watu wakiwa kwenye hatua za kufunga ndoa au uchumba hupima vinasaba kwa wataalamu hivyo hushauriwa kama wanafaa kuendelea na mchakato wa kujenga familia au laa.

Mkuu kwa jinsi nilivyowashuhudia hawa watoto walivyohangaika na mama yao jinsi anavyoumia akiwaangalia watoto wake walivyokua wanateseka napata kigugumizi namna ya kukushauri.

Mkuu mipango yote hupangwa na Mungu lakini nafasi bado unayo ya kurekebisha hili.

Kuzaa watoto wenye Sickle cell,au Haemophilia wanateseka sana kwenye ukuaji wao nafasi bado unayo ya kupata solution ya tatizo hili. 🙏🏽


Wanaweza kuwa pamoja ila pia wasizae, ushauri mzuri sana.
 
Hata Mimi nawashangaa wanaomshauri akapime DNA

yeye kataka msaada wa kujua namna ya kulikabili tatizo wao wanamshauri namna ya kulikimbia tatizo
Hahahhahah sitaki kucheka lkn inabidi nicheke tuu "eti wanamfundisha namna ya kulikimbia tatizo "
 
Sorry in advance because this might sound rude [emoji1431]

Nimeona watu wengi wanakuelezea tatizo lakini wanakwepa kukupa huu ushauri.

Wewe na mkeo si vizuri kuendelea kuwa pamoja sababu kuna chance kubwa ya kupata watoto wengine wenye sickle cell mbeleni (Heredity).

Mwezi February tumetoka kuzika mtoto wa mama mdogo alikua na sickle cell (kafariki akiwa binti mdogo wa miaka 19) binti huyu maisha yake yote alikuq mgonjwa mgonjwa na maisha yake yote ilikua kila siku ni anumwa.

Mama mdogo alizaa watoto wanne wa kiume wawili na wa kike wawili. Watoto wake wote wa kike walizaliwa na sickle cell.

Nchi zilizoendelea watu wakiwa kwenye hatua za kufunga ndoa au uchumba hupima vinasaba kwa wataalamu hivyo hushauriwa kama wanafaa kuendelea na mchakato wa kujenga familia au laa.

Mkuu kwa jinsi nilivyowashuhudia hawa watoto walivyohangaika na mama yao jinsi anavyoumia akiwaangalia watoto wake walivyokua wanateseka napata kigugumizi namna ya kukushauri.

Mkuu mipango yote hupangwa na Mungu lakini nafasi bado unayo ya kurekebisha hili.

Kuzaa watoto wenye Sickle cell,au Haemophilia wanateseka sana kwenye ukuaji wao nafasi bado unayo ya kupata solution ya tatizo hili. [emoji1431]
Umemshauri vizuri mkuu je aache mke na ndoa ni ya kikristo,au azini ili atafute watoto wasio na maambukizi
 
Back
Top Bottom