Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 971
- 1,165
Habari ndugu wapendwa katika imani! natumai mmeamka salama na mpo kwenye majukumu ya kila siku.
naomba nielekee kwanye hoja au maombi ya kimawazo, ushauri au tiba kwa aliyekutwa na hili tatizo na kufanikiwa kulimaliza kwa namna yoyote.
Mtoto wangu tatizo la kufura kwa mafua yasiyoka puani lilianza wiki moja mbele tangu alipozaliwa ili hali yalikuwa mafua ya kawaida kutokana na hali baridi ya usku unapongia kwa eneo tulipo, wiki ya pili mtoto alianza kupata shida ya mafua ya kufura kila ilipoanza kuingia jioni! ikautlazimu kumpeleka hospital ya karibuni na dk akatunandikia nasal drop.
Lakini matumizi ya dawa hiyo yalitupa ahueni kwa sku tatu tuu..! lakini mbaka sasa hamna nafuu ya kuridhisha bado usku anapata sana tabu kulala!
Natanguliza shukrani za dhati kwenu, na mungu awaongoze nipate majibu mema yenye msaada kwa mwanangu. AMEEN.🙏
naomba nielekee kwanye hoja au maombi ya kimawazo, ushauri au tiba kwa aliyekutwa na hili tatizo na kufanikiwa kulimaliza kwa namna yoyote.
Mtoto wangu tatizo la kufura kwa mafua yasiyoka puani lilianza wiki moja mbele tangu alipozaliwa ili hali yalikuwa mafua ya kawaida kutokana na hali baridi ya usku unapongia kwa eneo tulipo, wiki ya pili mtoto alianza kupata shida ya mafua ya kufura kila ilipoanza kuingia jioni! ikautlazimu kumpeleka hospital ya karibuni na dk akatunandikia nasal drop.
Lakini matumizi ya dawa hiyo yalitupa ahueni kwa sku tatu tuu..! lakini mbaka sasa hamna nafuu ya kuridhisha bado usku anapata sana tabu kulala!
Natanguliza shukrani za dhati kwenu, na mungu awaongoze nipate majibu mema yenye msaada kwa mwanangu. AMEEN.🙏