Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakushauri ajiunge na ccm maana huko anapoteza mdaAmemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Yeye anataka nini tuanzie hapo kwanza??Amemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
kwa Namna madogo wamepasua huu ufaulu atapata Chuo kweli kwa Kusoma BachelorAmemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Kwa ufaulu huo asome medicine ili iweje? hata pharmacy bado hapaswi kuigusa.Medicine
Pharmacy
Au medical lab
Unaelewa mkuu lakini au unafata story za vijiweniKwa ufaulu huo asome medicine ili iweje? hata pharmacy bado hapaswi kuigusa.
Unaamini unajua sana vitu?Unaelewa mkuu lakini au unafata story za vijiweni
Sio sana ila najua mkuuUnaamini unajua sana vitu?
Sio sana ila najua mkuuUnaamini unajua sana vitu?
Sio sana ila najua mkuuUnaamini unajua sana vitu?
Medicine
Pharmacy
Au medical lab
Ahahahahahah maisha sio magumu kiasi hiko mkuuMnataka akaue watu sasa
Kwani kipindi anachagua EGM alikuwa anataka kuwa nani /kusoma nini chuoni?Amemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.