Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mfungulie hosp kama ya Mhimbili awe CEO..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mfungulie hosp kama ya Mhimbili awe CEO..
Ah wee bwana sasa huyu kweli unadhani ataweza ata kung'amua mgonjwa anaumwa nini?Ahahahahahah maisha sio magumu kiasi hiko mkuu
😂😂😂😂😂😂😂Huwez elewa kama huna D mbili kama za Mwanao.
Kama kwenye familia hakuna connection hakikisha mpaka atakapomaliza chuo anajua bodaboda, umachinga na kuchoma chipsi.Amemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Kwanza hajasoma PCB huyo automatically ameshajiengua kwenye kozi za afya.Kwa ufaulu huo asome medicine ili iweje? hata pharmacy bado hapaswi kuigusa.
Awe afisa usafirishaji sio tena afisa ugaviAh wee bwana sasa huyu kweli unadhani ataweza ata kung'amua mgonjwa anaumwa nini?
Mie naona kama ni mwanaume mzazi apatie boxer jamaa aingie mtaani. Na hiyo D ya ecomics atajua kizichanganya
Akasomee kuwa kada wa ccm tuAmemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Akasome Diploma ya kozi hizi Uhadhili, Masijala, Utanzaji Kumbukumbu akimaliza tu Ajira hii hapa Serikalini yaan bila kupepesa machoAmemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Aiseee we jamaaa khaaa 😂😂Kwa
ufaulu huo!... Na wewe unaweza kujiita ulikuwa unasomesha!?.... Ama ulipeleka punda machungani!?
Mbona ufaulu mzuri huoKwa
ufaulu huo!... Na wewe unaweza kujiita ulikuwa unasomesha!?.... Ama ulipeleka punda machungani!?
Mpeleke ferry akajifinze uvuviAmemaliza six mwaka huu kombi ya EGM,
Ufaulu: Economics D, Geography D, Maths E,
Naomba ushauri wenu kwa fani anazoweza pata ajira kirahisi au akaweza kujiajiri.
Naam Huyu ndie JITU BANDIA ninaemjuaKwa
ufaulu huo!... Na wewe unaweza kujiita ulikuwa unasomesha!?.... Ama ulipeleka punda machungani!?
Miaka mi3 veta si unaanza na kuunda magari mapya kabisa asee tena ya umeme.Mkuu achana na mambo ya Madegree madiploma mpeleke mtoto Veta akasome long course ya mechanics and driving nadhani kama miaka mitatu akitoka hapo atakuwa Fundi Mzuri na Dereva maisha yanaendelea chuo kama hana connection maofisin atapoteza mda mrefu Kisha aje kuwa jobless