Mwanangu Chalamila umerudia tena kunigombanisha na wapiga kura? Hapana mama nimesema ukweli wa hali ilivyo...poa

Mwanangu Chalamila umerudia tena kunigombanisha na wapiga kura? Hapana mama nimesema ukweli wa hali ilivyo...poa

Muda mfupi kabla ya kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa DAR es salaam nafsi za mteua na mteuliwa zitakuwa zinajiuliza maswali haya mawili
Mwanangu Chalamila kwanini umenigombanisha na wananchi ?

Hapana mama nilitaka wafahamu ukweli wafanye kazi nakufahamu kwamba huduma ya afya ni gharama kubwa na wanapaswa kugharamia

Nimekuelewa lakini umeongea lugha ambayo haina ubinadamu. Hivi kijijini wanaweZa wakapata 50,000 kwa hali ya uchumi ilivyo? Unafahamu msimamo wa serikali kuhusu huduma ya afya? Unafahamu kwamba haki ya kuishi ni kipaombele cha kila serikali? Unaposema mtoto afe na mzazi afe na ukasema ni uzembe unamaanisha nini?

Je, ni lini serikali inayoongoza imewahi kutoa huo msimamo wako?

I'm sory mama
Kwani wajawazito wanapokwenda clinics huwa hawaambiwi wajiandae na hizo items?
 
Wakina mama wote Tanzania waungane wamkatae Samia kwenye sanduku la kura maana ccm wameshindwa kuboresha huduma za afya.
Check numbers za samia kwenye uzazi salama
 
Muda mfupi kabla ya kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa DAR es salaam nafsi za mteua na mteuliwa zitakuwa zinajiuliza maswali haya mawili
Mwanangu Chalamila kwanini umenigombanisha na wananchi ?

Hapana mama nilitaka wafahamu ukweli wafanye kazi nakufahamu kwamba huduma ya afya ni gharama kubwa na wanapaswa kugharamia

Nimekuelewa lakini umeongea lugha ambayo haina ubinadamu. Hivi kijijini wanaweZa wakapata 50,000 kwa hali ya uchumi ilivyo? Unafahamu msimamo wa serikali kuhusu huduma ya afya? Unafahamu kwamba haki ya kuishi ni kipaombele cha kila serikali? Unaposema mtoto afe na mzazi afe na ukasema ni uzembe unamaanisha nini?

Je, ni lini serikali inayoongoza imewahi kutoa huo msimamo wako?

I'm sory mama
Mwanangu Chalamila kwanini umenigombanisha na wananchi ?
 
Huku kwetu mtaa mzima mwenye cash 30,000/ ni balozi wa mtaa Jana alipata pesa hiyo kwa udalali wa kuuziana shamba la dhuluma!!

Nakushangaa unayetamka hiyo 50k
Kwahiyo unafurahia umasikini? Huyo mwenyekiti kwanini asikae na wananchi wake wakajadiliana jinsi ya angalau ya kujiwekea akiba ya sh. 100 kwa siku, kwa wiki 700, kwa mwezi 3,000, kwa miezi 9 ni 27,000/=. Kama kijiji kina wakazi 100 mtakuwa kwa 270,000/= hamtaweza kushidwa msaidia mzazi mwenzenu katika mtaa!
 
Kauli ya Chalamila ina akisi mawazo ya Wana CCM wengi. Hawana huruma kabisa kwa Binadamu wenzao.
 
Back
Top Bottom