Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa tuna ujinga hivi wa ajabu sana.Duh! Mbolea?
Wakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo
Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona anakuwa mpole sana?ila anasema hana tatizo tu,,,kingine anakuwa na mawazo sana hadi mwalimu wake ashawahi kuniita kuniuliza...lakini nikamwambia hana tatizo..
Dogo kuna siku alikuwa na mawazo sana ...ikabidi nimuulize shida ndio akaniambia ametumwa shuleni mbolea...nikahisi tu huyu walimu wanamchapa sana...asa mbolea anatoa wp mtoto wa darasa la pili.
Mchunguze usione aibu.Wakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo
Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona anakuwa mpole sana?ila anasema hana tatizo tu,,,kingine anakuwa na mawazo sana hadi mwalimu wake ashawahi kuniita kuniuliza...lakini nikamwambia hana tatizo..
Dogo kuna siku alikuwa na mawazo sana ...ikabidi nimuulize shida ndio akaniambia ametumwa shuleni mbolea...nikahisi tu huyu walimu wanamchapa sana...asa mbolea anatoa wp mtoto wa darasa la pili.
Una hoja usikilizwee.Yumkini ana haiba ya aina hiyo, na pengine atakuja kubadilika hapo mbeleni. Watu hubadilika mpe muda, mpe uhuru kiasi na endelea kumfuatilia. Watu wengi walio wakimya tangu utoto huchukuliwa kama mazoba lakini ni kuna namna fulani Mungu amewapa vipawa vya pekeee hujitokeza baadae.
Unawaza km mie pia.Kama yupo shule za serikali chunguza maisha yake Kuna case nyingi huko za watoto ku bull wengine na vitendo vya kipuuzi
Ikiwezekana mwamishe shule mpeleke shule ingine halafu angalia Hali yake
Autism au usonji sio shida ya akili. Ni ile hali mtoto kutotaka kuchanganyika na wenzake, kujitenga, kufanya mambo yake pekeyake, haongei ongei hovyo, kuna muda hapendi mwanga au baadhi ya rangi, ana ignore hisia au haelewi mwingine anafikiria nini, hapendi kelele n.k....Hana shida ya akili,, toka kaziliwa ndio yuko hivo
Kuna shida mahala kwenye vichwa vyetu watu weusiAfrica tuna ujinga hivi wa ajabu sana.
Sisi shuleni kwetu walimu walikuwa wanatuagiza mawe au kokoto.
Na shule iko town,
Sasa nikawa najiuliza hawa walimu hawafikiri sisi mawe tutayatoa wapi.
Watu tulikuwa tunaiba mawe ili kuepuka bakora.
kwanini hawa walimu wasichangishe pesa wakanunua hayo mawe/kokoto/mbolea.
Kaa na mwanao umuulize vizuri kuna kitu kibaya sana anapitia na ametishwa " asiseme" angalia unaokaa nao wanaokaa na mtoto ongea nae kwa upole utapata majibuWakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo
Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona anakuwa mpole sana?ila anasema hana tatizo tu,,,kingine anakuwa na mawazo sana hadi mwalimu wake ashawahi kuniita kuniuliza...lakini nikamwambia hana tatizo..
Dogo kuna siku alikuwa na mawazo sana ...ikabidi nimuulize shida ndio akaniambia ametumwa shuleni mbolea...nikahisi tu huyu walimu wanamchapa sana...asa mbolea anatoa wp mtoto wa darasa la pili.
Je, inawezekana kuwa huyu mtoto anapitia changamoto kubwa zaidi ya inavyoonekana? Dalili zake—kutokuwa mchangamfu, kujitenga, na kuwa na mawazo mengi—zinatoa picha ya mtoto anayebeba mzigo wa kihisia usioelezeka. Lakini mzigo huu unatoka wapi? Ni matokeo ya shinikizo la shule, unyanyasaji, au mazingira yasiyo rafiki?Wakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo
Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona anakuwa mpole sana?ila anasema hana tatizo tu,,,kingine anakuwa na mawazo sana hadi mwalimu wake ashawahi kuniita kuniuliza...lakini nikamwambia hana tatizo..
Dogo kuna siku alikuwa na mawazo sana ...ikabidi nimuulize shida ndio akaniambia ametumwa shuleni mbolea...nikahisi tu huyu walimu wanamchapa sana...asa mbolea anatoa wp mtoto wa darasa la pili.
mbolea?? walimu hawajui mbolea zinauzwa?Wakuu dogo saivi yuko la pili...hachangamki kabisa...ni mtu wa kukaa pekee yake ...anaweza akacheza kidogo tu nawenzake halafu aka achana nao mda huohuo
Nishamuuliza sana ana tatizo gani mbona anakuwa mpole sana?ila anasema hana tatizo tu,,,kingine anakuwa na mawazo sana hadi mwalimu wake ashawahi kuniita kuniuliza...lakini nikamwambia hana tatizo..
Dogo kuna siku alikuwa na mawazo sana ...ikabidi nimuulize shida ndio akaniambia ametumwa shuleni mbolea...nikahisi tu huyu walimu wanamchapa sana...asa mbolea anatoa wp mtoto wa darasa la pili.