Mwanangu hali kabisa nje ya nyumbani

Mwanangu hali kabisa nje ya nyumbani

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu hongereni kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri.

Sasa huyu dogo he is almost 4 now.

Ila tatizo Lake hali chakula chochote nje ya nyumbani.

Mfano hata mkienda mahali ukimuagizia chochote hawezi kula.

Ila akirudi nyumbani anakula vizuri tu.

Sasa huyu dogo ananifikirisha sana akienda boarding itakuaje.

Itumike njia gani kumsaidia.
 
Kwa nini unataka awe anakula nje ya nyumbani? yaani ungefurahia mwanao awe anadoea kwa jirani. Issue ya boarding bado sana ndio kwanza 4 ..... Enyi wazazi msiwachokoze watoto wenu........ unaikumbuka hii......
 
Wakuu hongereni kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri.

Sasa huyu dogo he is almost 4 now.

Ila tatizo Lake hali chakula chochote nje ya nyumbani.

Mfano hata mkienda mahali ukimuagizia chochote hawezi kula.

Ila akirudi nyumbani anakula vizuri tu.

Sasa huyu dogo ananifikirisha sana akienda boarding itakuaje.

Itumike njia gani kumsaidia.
Unampeleka boarding akiwa very young
 
Duh! wa kwangu chakula kilichelewa atapiga nje tu.

Back to the topic, kwahiyo unahisi mtoto anatatizo? boarding miaka 4? Hakikisha chakula kinapikwa nyumbani
 
Kwa hili vurumai la watoto kutekwa hovyo, wengi wanasali watoto wao wasiwe na tabia ya kula hovyo kama huyo wako.

Anawaamini ninyi wazazi wake, siku mkimvunjia hivyo trust sio kula tu hata yeye ataliwa.
 
Wakuu hongereni kwa mabadiliko ya baraza la mawaziri.

Sasa huyu dogo he is almost 4 now.

Ila tatizo Lake hali chakula chochote nje ya nyumbani.

Mfano hata mkienda mahali ukimuagizia chochote hawezi kula.

Ila akirudi nyumbani anakula vizuri tu.

Sasa huyu dogo ananifikirisha sana akienda boarding itakuaje.

Itumike njia gani kumsaidia.
Una mtoto smart sana na umtunze sana na kumlea aweze kubaki katika viwango alivyoumbiwa kwani naona wewe utamshusha kwa kumletea mambo ya uswahili. Ikiwezekana kama upo uswazi toka mara moja mkaishi mahali panapofaa zaidi.
 
Back
Top Bottom