Mwanangu hawezi kukaa naomba ushauri wa matibabu

Mwanangu hawezi kukaa naomba ushauri wa matibabu

Nna hilo ndio tatizo bado ni mdogo ana miaka2 tu
Wanasema udongo upatize ungali maji sasa naogopa kuchelewesha matibabu
 
Kwa kweli mm ni memba mgeni humu lkn michango yenu imenifanya nijisikie vizuri sana na namuombea kheri msimamizi wa jamii forums
Kwa sababu inatoa faraja kubwa kwa walio na matatizo ya kweli
Nawashukuruni sana wanachama
 
Kwa kweli mm ni memba mgeni humu lkn michango yenu imenifanya nijisikie vizuri sana na namuombea kheri msimamizi wa jamii forums
Kwa sababu inatoa faraja kubwa kwa walio na matatizo ya kweli
Nawashukuruni sana wanachama
Karibu humu kuna wataalamu wote na watu wema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ambayo nimeipata humu ni kwamba niongeze bidii ya mazoezi kwa mtt kitu ambacho nilikuwa nishaanza kurudi nyuma
Na ndio maana nikaanza kutafuta njia m badala humu
Nawashukuru sanaaaa
 
Hakuna njia nyingine zaidi ya mazoezi mkuu,ishu ya msingi msimtese mtoto kwa kumpeleka kwa waganga ataharibika,kazania sana mazoezi.

Nimehudumia sana watoto wenye shida hizo,ukiwafuatilia wanakuwa safi ila ukiacha hali inakuwa mbaya zaidi cha msingi usichoke mkazanie sana..
Uliyoeleza yote yako sahihi kwa mtoto wangu.

Asante sana nitazidisha juhudi ya mazoezi
Kwa hiyo unataka kunambia hakuna njia nyengine ispokuwa mazoezi?
 
Hakuna njia nyingine zaidi ya mazoezi mkuu,ishu ya msingi msimtese mtoto kwa kumpeleka kwa waganga ataharibika,kazania sana mazoezi.
Hilo neno humo tyr nimeenda nikaona hakuna majibu
Si unajua ukiuguliwa kila njia utapitia
 
Hili tatizo linaitwa Global developmental delay's, linasababishwa na matatizo mbalimbali likiwemo geneticists issues.

kawaida mtoto akizaliwa kuna check up daktari anaifanya kabla hamjaruhusiwa kwenda nyumbani mokawapo ni uwezo wa kusikia.

baadaya wiki sita kuna check up nyingine daktari anaifanya kuona kama mtoto ana nyanyua miguu, mikono nk

mtoto wa mwaka mmoja anaanza kuinua kichwa juu.
Hivi vikigundulika haraka mtoto hupata msaada mapema.

Daktari mzuri wa kumuona ni daktari wa watoto.

The term 'developmental delay' or 'global development delay' is used when a child takes longer to reach certain development milestones than other children their age. This might include learning to walk or talk, movement skills, learning new things and interacting with others socially and emotionally.
 
Back
Top Bottom