Machmadem
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 758
- 936
pole sana mkuu in medical terminology hiyo hali inatwa cerebral palsy. Mara nyingi hutokea wakati wa mama akiwa labour ni hitilafu zinazojitokea wakat wa kuzaliwa. mtoto anapata nerves injur au pathological jaundice(manjano) hvyo kupelekea kuathiri nerves supply kama (miguu,shingo,usu nk).
Hivyo basi kwa kukushauri mwendeleze na mazoezi lakini pia anaglia ni vitu gani ambavyo mpaka sasa anaweza kufanya visvyo wezekana achana navyo. Hili tatzo ni irrivesible kwa maana hakuna matibab ya kumleta katka hali yake katka sekta ya afya nenda popote pale(alishapata deleyed mile stone).
pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo basi kwa kukushauri mwendeleze na mazoezi lakini pia anaglia ni vitu gani ambavyo mpaka sasa anaweza kufanya visvyo wezekana achana navyo. Hili tatzo ni irrivesible kwa maana hakuna matibab ya kumleta katka hali yake katka sekta ya afya nenda popote pale(alishapata deleyed mile stone).
pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app