Hakuna njia nyingine zaidi ya mazoezi mkuu,ishu ya msingi msimtese mtoto kwa kumpeleka kwa waganga ataharibika,kazania sana mazoezi
Nimehudumia sana watoto wenye shida hizo,ukiwafuatilia wanakuwa safi ila ukiacha hali inakuwa mbaya zaidi cha msingi usichoke mkazanie sana..
Maliza basi mchezo sisi Biriani ya ngamia tutatoaWe jamaa itakuwa unanipenda kweli...ujue naanza kuamini 😂😂
Maliza basi mchezo sisi Biriani ya ngamia tutatoa
ila tu a siku abuse kuna wengine wana Taka mzigo kila siku anakusamehe siku za hedhiNimkubali e?😂
pole sana mkuu Mungu atamponya mtoto wetu ila jitahidi sana kwenye mazoezi, kama mdau alivyoshauri ungeenda na CCBRT hakuna gharama yoyote, mtoto chini ya miaka mitano wanatibiwa bure na kuna hostel kama mtu ametoka mbali, Clinic ya watoto ni jumanne na alhamisSawa mkuu na hili nitalifanyiakazi
Ila mm nipo zanzibar naanzaje hapo sina uenyeji
pole sana mkuu in medical terminology hyo hali inatwa cerebral palsy ..mara nyingi hutokea wakati wa mama akiwa labour ni hitilafu zinazojitokea wakat wa kuzaliwa. mtt anapata nerves injur au pathological jaundice(manjano ) hvyo kupelekea kuathiri nerves supply kama (miguu,shingo,usu nk)hvyo bas kwa kkshaur mwendeleze na mazoez lkn pia anaglia ni vitu gani ambavyo mpk sasa anaweza kufanya ..visvyo wezekana achana navyo .....hili tatzo ni irrivesible kwa maana hakuna matibab ya kumleta katka hali yake katka sekta ya afya nenda popote pale(alishapata deleyed mile stone). pole sana
Sent using Jamii Foru
Nazingatia ushauri wako mkuupole sana mkuu in medical terminology hyo hali inatwa cerebral palsy ..mara nyingi hutokea wakati wa mama akiwa labour ni hitilafu zinazojitokea wakat wa kuzaliwa. mtt anapata nerves injur au pathological jaundice(manjano ) hvyo kupelekea kuathiri nerves supply kama (miguu,shingo,usu nk)hvyo bas kwa kkshaur mwendeleze na mazoez lkn pia anaglia ni vitu gani ambavyo mpk sasa anaweza kufanya ..visvyo wezekana achana navyo .....hili tatzo ni irrivesible kwa maana hakuna matibab ya kumleta katka hali yake katka sekta ya afya nenda popote pale(alishapata deleyed mile stone). pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu nitafanya hivyo piapole sana mkuu Mungu atamponya mtoto wetu ila jitahidi sana kwenye mazoezi, kama mdau alivyoshauri ungeenda na CCBRT hakuna gharama yoyote, mtoto chini ya miaka mitano wanatibiwa bure na kuna hostel kama mtu ametoka mbali, Clinic ya watoto ni jumanne na alhamis
Huduma hizi ziko pia CCBRT ya KCMC?pole sana mkuu Mungu atamponya mtoto wetu ila jitahidi sana kwenye mazoezi, kama mdau alivyoshauri ungeenda na CCBRT hakuna gharama yoyote, mtoto chini ya miaka mitano wanatibiwa bure na kuna hostel kama mtu ametoka mbali, Clinic ya watoto ni jumanne na alhamis
Upo uwezekano pia mtoto ana tatizo la down Syndrome. Kwa miaka ya hiv karibuni kumetokea ongezo la kuzaliwa watoto wenye tatizo la down syndromes.Nina mwanangu ana umri wa miaka 2 sasa. Hawezi kukaza kichwa wala hajaweza kukaa. Nimeenda hospitali hadi leo ni mazoezi tu tatizo hasa sijalijua.
Naombeni mwenye kuelewa anieleweshe nitashukuru.
Nipo Zanzibar.
MAONI YA WADAU:
===
===
Asante mkuuNa pia mkazanie sana nyumban kumkalisha kumsemesha na hata kumnyoosha viungo taratibu na massage sanasana ili asikakamae pia jitahidi asipate homa coz husababisha degedege
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anapopata degedege mzee pia mtafutie dawa km clonzepam,tizidine,cdium phyporate xtmfanya a relaxAsante mkuu
Kuna wakati humtokezea kuuma meno hadi dam zinamtoka
Na hapo ndio huuona ugum kweli
Asante mkuuNdio anapopata degedege mzee pia mtafutie dawa km clonzepam,tizidine,cdium phyporate xtmfanya a relax
Sent using Jamii Forums mobile app