Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very good answer
Hebu toa ukweli huo kwa lugha nyepesi tuuone. Tupe mfano if it were you...!Naona wazazi, walezi, ndugu na jamaa ndio mnaolea taifa la waongo. Mnaua curiosity!
Kuna shida gani kumwambia mama ana mtoto tumboni, ambae ni mdogo wake.
Akiendelea kuuliza mjibu ukweli kwa lugha nyepesi.
Ungemwambia tu 'mama tumbo linamuuma'Swali hili nililoulizwa na mwanangu Justine wa miaka 4 limeniacha mdomo wazi na nimeshikwa na kigugumizi.
BABA MBONA MAMA KAJAA TUMBO?
Wewe ungejibuje hebu tusaidiane wakulungwa.
Si ungemwelekeza kwa aliyejaa tumbo ili amwelezee/ ampe jibu?Swali hili nililoulizwa na mwanangu Justine wa miaka 4 limeniacha mdomo wazi na nimeshikwa na kigugumizi.
BABA MBONA MAMA KAJAA TUMBO?
Wewe ungejibuje hebu tusaidiane wakulungwa.
mtoto akitoka atatuambia alivyoingia, hivyo tusubiri.Hebu toa ukweli huo kwa lugha nyepesi tuuone. Tupe mfano if it were you...!
HapanaAmeshiba ugali!
Kwa nini hapana?Hapana
Mwambie humo kuna mtoto. Akikuuliza kainhiaje anatokaje mwambie Mungu kamweka na atamtoa kama alivyokutoa wewe. Je Mungu ni nano? Mwambie ndiye ameba kila kitu mengine endelea. Usidanganye maana atauliza na wengine watamwambia na atakurudia kukusuta kuwa ulimdangnya. Sasa hapo pa Mungu hata akiuliza mwisho ni kweli Mungunndiye muumbajiKwa nini hapana?
Halafu ngoja...
Sie wa pande hizi enzi hizo tulikuwa tunadanganywa mtoto anapatikana baharini... wazee wetu Mungu anawaona!!
Hivi wale ambako bahari hamna watoto wao walikuwa wanawadanganya mtoto anapatikana wapi?!
Mizee ya enzi za Nyerere bure kabisa!!!
Halafu tukishindwa kufanya uvumbuzi mtuambie vijana wa siku hata ubunifu hatuna wakati mmeanza kutulisha ujinga tangu tukiwa makinda!! Hivi walikuwa wanafikiria nini hawa?! Mtoto na bahari wapi na wapi?! Aaarrrgh!!
Btw, hivi sasa watoto wakiwauliza mtoto anapatikana wapi huwa mnawajibu nini?!
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie kameza 'mpira'...
Naona wazazi, walezi, ndugu na jamaa ndio mnaolea taifa la waongo. Mnaua curiosity!
Kuna shida gani kumwambia mama ana mtoto tumboni, ambae ni mdogo wake.
Akiendelea kuuliza mjibu ukweli kwa lugha nyepesi.
Hebu toa ukweli huo kwa lugha nyepesi tuuone. Tupe mfano if it were you...!
Mwambie Kuna mdogo Mungu amemweka huko,ajiandae kupata mtu wa kuchezea nayeSwali hili nililoulizwa na mwanangu Justine wa miaka 4 limeniacha mdomo wazi na nimeshikwa na kigugumizi.
BABA MBONA MAMA KAJAA TUMBO?
Wewe ungejibuje hebu tusaidiane wakulungwa.
Shida ni curiosity
Baadhi ya watoto wakijua mtoto anapatikana
Baada ya sex huenda kujaribu Ku sex ili wapate na wao watoto...
Kumbuka watoto huona mtoto mdogo ni kama mdoli...
Kingine ukiwaambia kuna Mtoto ndani ya tumbo huwezi jua curiosity Yao itaishia wapi?
Wanaweza hata kujipasua tumbo ili waone Kama na wao kuna Mtoto..
Some informations ni dangerous Kwa watoto
Wakipewa jumla jumla