Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Namkumbuka Makonda alivyombonda mzee Warioba ambaye mpaka sasa ni kimya kabisa!!!!!!

Tufike mahali tujiulize uteuzi unakwenda je???? Kweli Bashite alifahaa kuwa hata mkuu wa mtaa??

Hatuendi mbele kama tuna vijana kama hawa. Tumeipigania nchi tumeilinda na tupo kimywa kwenye misingi ya mwalimu siyo ya Magufuri kama alivyojinadi.
 
Masikini mgeni w watu, hajui hata jina la walomwalika atoe ujumbe!
Wakimwona mgeni kaja Tz, kavaa, kapendeza, haoo wanamkaribisha, wanmwandikia speech wanampa nafasi... ndo hayo sasa- Chama cha ...dah!
Sio kosa lake, ni kosa la lugha
 
Ni watu tu wanazusha ili kum-discredit aonekane ni mtu wa ovyo asiyefaa. Na wanaofanya hivyo ni nyumbu na msoga gang.
Ila kwa Makonda inawezekana hata yy yuo na Nia hiyo anapitia mlango wa nyuma... katibu mkuu Makonda , Itikadi na uenezi anampa chawa wake anayemmudu
 
Kwa weledi na busara za mwalimu Nyerere, kweli angeweza kumpa bash boy ukatibu mkuu wa CCM? Yaani Bashit Ni wakumlinganisha na the likes of Msekwa? MTU aliyeandika vitabukuhusu CCM ?
Hivi Bashit alishaweza kuandika kitabu au hata article kwenye gazeti la Uhuru?????
 
JF kila mtu ni Mastermind,Shot Caller,In charge!

Huwezi kuzuia chochote kama wenyewe wamepanga kiwe,ungeweza hata huo uenezi asingeupata kwa chuki mliyonayo kwa jamaa.
Hii posti isambazwe majukwaa yote JF.

Watoa taarifa ufipa waione Hii....kwa kidhungu wanasema

CC: to all you haters


📌🔨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…