Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

mungu katunusuru mengi utotoni,ilikuwa mwenzio kaumia akitoka damu ili kuzuia damu isitoke ilikuwa unainyonya damu!
 
Duh
 
Duh! Leo nipo zamu kitengo cha UKIMWI!

Pole sana ndugu yangu, lipokee kwa upendo na msaidie mwanao kuanza ART. Tunawahudumia wengi wenye umri mdogo na wanadumu for years. Tuwachunge sana watoto wetu!
 
Hata asali,vitunguu swaumu na habbat soda kama ukila na ukazingatia lishe vzr unapona kabisaa!
Tatizo tumekaririshwa mnoo juu ya hivi vitu!
 
Poleni sana, Mungu awape nguvu ya kukabiliana na hali hii
 
Una uhakika katika kuingiliana uwezekano wa michubuko ukoje? Pia sijazungumzia kwa mwanamke namsemea mtoto hasa anapokua shuleni,mtaani ama nyumbani.
Naongelea kutokana na experience ya kazi niliyowahi kufanya na shirika la right to play watoto wengi wameripoti matukio ya kubakwa na ndg zao/watu wa karibu sana wawapo shuleni,nyumbani nk pia kuna watu wazima huwasubiri watt njiani hasa wanaosoma shule za kutwa kwa kuwapa zawadi ndogondogo kama pesa kati ya sh.200-500 na kuwabaka,wengine ni wanafunzi unakuta katoto kako std ii kameshawashughulikia wenzake 7 unamhoji mtoto alijuaje huu uchafu anasema alifundishwa na mjomba wake alipotembelea mjini,Jamani kuna matukio mengi sana siwezi kueleza yote hapa
 

Kacheki DNA ya mtoto kama ni wako ama lah, inawezekana mkeo alichepuka na kupata hiyo Mimba kwa Baba Mwenye Ugonjwa
 

BIG UP!!!Mkuu you Made My Day kwa kumpa Moyo mwenzetu kwa janga lilomkuta na mimi pia umenipa ujasiri saana mkuu
Kwa uwezo wa ALLAH huyo MALAIKA wa MUNGU atapona INSHAALLAH[emoji1317] Ameen,!![emoji1317]
 
Tena Habat Sauda mashuhuda kibao wa VVU wamepona... me naiheshimu sana ndio dawa yangu natumia hospital nafata vipimo tu.
Bonge la dawa habbat soda Mimi kwa sasa hua naenda Hosp kufata vipimo najitibu kwa miti shamba tu!

Watu wanapona ukifata proper dose though some people will argue!
 
Mlishe vizuri mwanao,usimpe ARV kaa baada ya mda kama miezi sita hivi na zaidi huku akila vizuri nenda kampime tena atakua mzima wa afya.(NINA UHAKIKA NA NINACHOKIONGEA)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…