pole sana mkuu,samahani kwa swali hili au maoni haya nitakayo yatoa
huyo mtoto ni wa miaka 9 kama kafanya ngono ndio kwanza atakua ameanza muda mfupi uliopita,je kuna uwezekano ukampeleka kwa daktari kujua kama ana bikra?kwani si mtoto wa kike huyo au nimesoma vibaya?
ukijua hana bikra unaweza pata pakunzia atakuambia tu nani kamtoa,hapo utaanza ku deal na huyo mtu,ikiwepo kumfunga kabisa maana mtoto lazima atataja tu,na kwa umri huo hawezi kua katembea na watu wengi kama kaanza ngono
pole sana mkuu kwa huo mkasa,kama bikra ipo basi itakua kwenye michezo ya watoto,saloon,vitu vyenye ncha kali wanavyozea
hata hivyo mpaka ukimwi umeanza kuonekana inaashiria aliambukizwa si chini ya miezi sita iliyopita japo inategemea na kinga yake ipoje
kaa nae chini akuelezee vizuri ni mwanao tena mdogo hawezi kukushinda,kama hana bk utapata pazuri pakuanzia