Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Duh! Mungu atulindie tu hawa watoto wetu maana bila yeye ni ngumu sana kulifanikisha hili.Umenikumbusha jambo baya sana, Siku ka binti kangu nilikakuta kanachezea surgical/examination gloves! Nilijisikia vibaya sana tena alikuwa anapuliza kama puto!
Pole mno mkuu, hakika niko katika viatu vyako naona jinsi unachomeka. Kwa kuwa mtoto ameanza kuugua jua kabisa hakapata virusi siku za karibuni. Atakuwa amepata nyuma kidogo kama immune yake ni nzuri. Kwa misingi hii ni ngumu sana kuweza ku trace chanzo ila kwa harakaharaka unaweza suspect yafuatayo:Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
anazo ila zipe kwenye sehemu ya kutolea haja kubwa,zinapungua kadri anavyojisaidiaUna akili timamu kweli?
Hatuna "paternal to child transmission" so far.pima DNA YA MTOTO NA YAKO, unaweza ukawa umelea mimba ya mwenzako ambaye anaumwa
hii itakuwa biashara kama zingine tuuImenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.
Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.
Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.
USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.
But its around the corner maana anataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu.
Relax! We will survive!
Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.
Don't lose hope.
Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Hakika watoto wapo hatarini! Umenikumbusha jambo kubwa sana! Watoto hata kushirikiana heleni haifai kabisa. Kwa bahati mbaya katika kucheza watoto wanaweza badilishana hata heleni.Pole sana mkuu. Inawezekana ni katika michezo ya watoto maana huwa wanapenda kuokota vitu vyenye ncha kali na kuvichezea. Kwa upande wangu binti yangu alishawahi kufanya kitu cha hatari sana akiwa shule alitoa heleni na kuitumia kutobolea masikio ya wenzie pia na yeye kujitoboa tena. Kiukweli nilikosa amani mwezi mzima nilikosa ujasili wa kwenda kumpima. Lakini kikubwa kwa sasa fanya yale unayotakiwa kufanya kwa mgonjwa
naaam mkuu wangu"" umefnya vyema kuuleta hapa....Jamaa apite huko apate elimu kidogo"" huwenda kwa huu ushuhuda wake aliouleta hapa...nimeanza kuhisi huwenda kweli madai ya Jamaa anayesema kuwa hakuna HIV+ kupitia huo Uzi huwenda akawa na mantikiMkuu una maanisha huu?
Inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?
point takenKwanza nikupe pole lakini pia usiumie Mungu ndiyo mwamzi.
Yawezekana huyo mwanao ulibadilishiwa hospital bila kujua pima na DNA.
But pia angalia na mazingira yanayokuzunguka wewe.
Richard upumbavu mkuu ase ungepita kimya lingekuwa Jambo la maana sana karma ipoKwako!