Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Mkuu hapo kwenywe mashine za kunyolea wengi hatuchukui tahadhari. Tena hapo kuna hatari ya maambukizi ya homa ya ini (herpatitis).
Ni vema umekumbushia hili suala.
Mimi nina mashine za kunyolea home sipeleki watoto salon.
 
kweli chief ""
 
Lord have Mercy!

Binti ana umri gani mkuu?

Jipe moyo, mpe lishe nzuri, aanze dawa za kupunguza makali.... Naamini muda si mrefu dawa itapatikana na binti yetu atapona.
 
Pole sana kwa tatizo lililokupata!..
Lakini nimewaza hao wanafamilia walipima kwa hiari specialy msichana wa kazi. Unajua kupima kwa shurti ukimwi sizani hata mahakama inaweza toa amri hiyo!.
 
Most likely... Mungu awanusuru wanetu kwakweli...

Dah!
 
Dah[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Pole kaka inaumiza mno
 
Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....

Siyo lazima ngono. Watoto wanaweza kuwa wamecheza na viwembe au sindano. Siku hizi kuna watoto wengi waliozaliwa na virusi vya ukimwi mashuleni na mitaani ambao huwezi kuwafahamu... katika michezo yao wanaweza kuumia na kuambukizana bila kujua.

Tumwombe Mungu apitishe mbali haya majanga.
 
Au mlibadilishiwa mtoto mkuu hospital
 
Dah..pole sana Mkuu..ndio mitihani ya kidunia..
 
Mpeleke maombi pia afanyiwe caseli atasema tu wale ni watalam watamshawi atasema tu
 
kwa hausigel yule mlomfukuza kipindi kileee
 
Pole sana mkuu,muwahishe hospitali kubwa ili uweze kuona kama cd4 zake zimeshuka kiasi kikubwa ili aanze kutumia ARVs...
 
pole sana....nenda jukwaa la jf doctor "" katafute Uzi unaoitwa "" je unaweza kutembea na mtu aliyeathirika lakini usipate maambukizi.....utapata majibu yote huko """tena nivizuri zaidi kama mods wakiuhamishia huu Uzi wako huko
Mtoto kapimwa hajawahi kuingiliwa kimwili... bado fumbo,
KAUPATA WAPI???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…