kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Dunia ikiweka mashindano ya UCHAWA Tu tumeshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini ujanja ujanja ndio unatufelisha watu weusiNini shida linchi lote hili kwenye nyanja ya michezo na burudani hakuna hata mmoja wa kututoa kimasomaso aisee.
17/17Ameshika nafas ya 17 Kati ya wanariadha wangapi??
Kashapitishwa Lucas Mwamshamba bila kupingwaHakuna shindano la uchawa wa ccm tutume washiriki?
Bora ameshindwa, maana angeshinda ikulu na bunge vingejipendekeza kumkaribisha halafu bibi angesifiwa sanaMama anaupiga mwingi! Kazi iendelee
Nakubaliana na wewe kabisa. Yaani nchi hii kila lililo zuri ni kwa hisani ya mama kiremba. Kama taifa tumefikia pabaya sana.Mpango wa Mungu, tena hapo alipaswa awe wa 30 kwakuwa SIFA NA UTUKUFU ALIKUWA amwagiwe FULANI , wacha iwe hivyo.
Jamaica mkuuUSA wamejipanga sana kwenye hayo mambio mbio... Kenya na Ethiopia wanafuata
Nao wako vyede sanaJamaica mkuu
mbio fupi USA masafa marefu mashariki mwa afrika Ethiopia na kenya tanzania bado usimba na uyanga mwanga atuweki vipaumbele kwenye michezo mingine ambayo labda ingeweza kutuweka kwenye ramanUSA wamejipanga sana kwenye hayo mambio mbio... Kenya na Ethiopia wanafuata
lakini Letsile Tebogo si mmoja wa hao uliowataja na ameshinda mita 200.. ni focus, committment ya serikali zinatengeneza watu km hawa!Jamaicans, US, Ethiopians and Kenyans ni undisputed runners mbio ndefu kwa fupi. Nilotics na Cushites ni long distance-runners.
Serikali ipi, upo usingizini ?lakini Letsile Tebogo si mmoja wa hao uliowataja na ameshinda mita 200.. ni focus, committment ya serikali zinatengeneza watu km hawa!