KusiniKuchele
Member
- Oct 26, 2015
- 78
- 120
Kajitahidi hata hivyo maana mshindi wa kwanza katumia masaa 2.06 yeye Simbu 2.10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nini??Una connection?
Ili next ijayo uitwe kushiriki michuano ya OlympicYa nini??
SihitajiIli next ijayo uitwe kushiriki michuano ya Olympic
Maana yangu ilikuwa..aliyesema mbio ndefu na fupi ni kwa watu kutoka US, Kenya, Ethiopia..au cushites na nilotic si kweli sababu Tebogo Letsilie ameshinda fainali Olympic mita 200 wanaume anatoka Botswana..hivyo cha muhimu ni serikali kuwa na malengo na kuwekeza kwenye riadha..watapatikana wakimbiaji wengi na watashinda.Serikali ipi, upo usingizini ?
Hii iliyowekeza kwenye Vx LX 200 series?
Mazoezi wanaenda kufanya shuleni kwa FB wanazunguka shule 😆Hao kila siku wao wanajiandaa
Sisi olympic kesho kutwa leo tunaanza mazoezi
Ova
Maandalizi hafifu, pesa zinazotolewa kwa maandalizi vimeliwa na Henry Tandau na Filbert Bayi na TOC kwa ujumlaKumbe ulikuwa na matumaini kabisa? Ili hali washindani hata hawaiwazii Tz. Kwa sikitiko lako, yawezekana ni mnufaika na Olympic, na sasa upo Paris
Mimi naona ni hivyo wabongo hatuna discipline kwenye mazoezi na hatuna consistency.Hao kila siku wao wanajiandaa
Sisi olympic kesho kutwa leo tunaanza mazoezi
Ova
We huna akiliHuyu kila siku n wa kushindwa tu hiv hamnaga wengine
Waliomaliza ni 65 wengine walishindwa akiwemo bingwa mtetezi Kipchoge wa KenyaAmeshika nafas ya 17 Kati ya wanariadha wangapi??