Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa

Kweli kabisa

Ova
 
Mkuu unadhani kwa mwanariadha anatakiwa afanye nini yeye binafsi ili awe mkimbiaji bora wa mbio ndefu tukiachia juhudi za mamlaka ?
 
Mkuu unadhani kwa mwanariadha anatakiwa afanye nini yeye binafsi ili awe mkimbiaji bora wa mbio ndefu tukiachia juhudi za mamlaka ?
Yeye binafsi atambue kipaji chake na akionyeshe kijulikane mapema..
 
Wanasiasa wapo kimya kama hawajui vile kilichotokea ila laiti angepata medali angesifiwa samia
 
Kuna vitu huwa sivielewi...Wamasai wanakimbiza digi digi hadi wanamkamata mkia wakiwa wanawinda huko maporini sasa unawaza vipi wakipewa training ya kukimbia tena kwenye lami..Kuna wasandawe Wanarusha mishale hao n hatari lkn eti hadi warusha mishale hatuna huko Olympic.
 
Watu wa kuwahamasisha hawapo mkuu,wewe ungekuwa na nafasi ungetumia hiyo opportunity na tungeona matokeo.
 
Hizi tv za Waislam hizi? Wanatulipisha 28,000 ili watuonyeshe michezo, walituahidi kuanzia saa 3 watakuwa live Olympic lakini wapo na vipindi vyao vya kiislamu.
 
PAMBAF kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…