Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
 
... wenyewe kwenye utawala wao wameumiza wangapi? Walifurahia madhila ya wenzao wakidhani wenyewe wako peponi? Wakafie mbali huko; Tanzania itaendelea kuwepo bila wao.
 
Mwacheni Pole Pole aongee maana ndio anajiponya, Pole Pole ana tabia zetu wanawake Ili tupone yaliyo moyoni lazima tuongee sana na kila mtu, Bashiru ndio itamchukua mda kupona maana ina mkula ndani kwa ndani
 
Kuwa mwenezi na kuwa mbunge kupi kuko juu.

Ubunge ni tamanio la kila mtu..mama salma kikwete ameonjeshwa kidg tu...alinogewa na leo ni mbunge wa jimbo la mchinga.

Malecela pamoja na kuwa waziri mkuu na badae kustaafishwa bado alitamani ubunge aendelee kuwa nao, kabla hajadondoshwa na lusinde.

Pindi chana alikuwa balozi wetu pale nairobi majuzi tu..kaachana nao kaja kuwania ubunge wa viti maalumu

polepole kapewa ubunge na aliyempa.kukataliwa kunatoka wapi..
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Huyo mwanasaikolojia uchwara atakuwa anatokea ufipa.
Mtu kaamua kukaa kimya eti ana sonona. Na anaeongea na shida.

Watu hawana jema.
 
Huyo mwanasaikolojia uchwara atakuwa anatokea ufipa.
Mtu kaamua kukaa kimya eti ana sonona. Na anaeongea na shida.

Watu hawana jema.
Usiibagaze taaluma ya mtu wewe wa Kalelambwanda.

Tunafahamu CCM kumejaa wajinga kwa mujibu wa TWAWEZA

2962938_IMG-20180405-WA0006 (1).jpg
 
Back
Top Bottom