- Thread starter
- #101
SawaNimem PM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNimem PM.
Anataka wawe katika hali ya wastani. Yaani wasikae kimya saana na wasiongee saana. Kumbuka Too Much of Anything is Harmful.Kwa kifupi mwanasaikolojia anataka pole pole akae kkmya kama bashiru Ili aseme ana Sonona
Lakin pia Bashiru apayuke kama polepole ili aseme ana "mental disorder"
Dr.bashiru hakuwa mwanasiasa. Hata kama alijidai kuwa mwanasiasa kinadharia hakuwa na chochote alichokisimamia. Kiitikadi hata magufuli pia. Aliamini kwamba ukitenda unapendwaMwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Miaka mitano iliyopita nchi haukuwa na uongozi. TulipigwaDr.bashiru hakuwa mwanasiasa. Hata kama alijidai kuwa mwanasiasa kinadharia hakuwa na chochote alichokisimamia. Kiitikadi hata magufuli pia. Aliamini kwamba ukitenda unapendwa
Msimu wankunyanduana mkuu ule mwez wa baridiii kaliKama Mwakilimo alizaliwa msimu wa mvua,Mwakisoka kazaliwa enzi za prison inaanzishwa,mwakikuma kazaliwa msimu gani?
KabisaMiaka mitano iliyopita nchi haukuwa na uongozi. Tulipigwa
Basi Ana kiherehere sanaMwakikuma (PhD)
Dah nimecheka kimyakimya,kazi za siasa kwakweli inatakiwa kila wakati uwe umejiandaa kisaikolojia,anything can happen at anytime,na hasa kwenye hizi nafasi za uteuzi...Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.