Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Kwa kifupi mwanasaikolojia anataka pole pole akae kkmya kama bashiru Ili aseme ana Sonona

Lakin pia Bashiru apayuke kama polepole ili aseme ana "mental disorder"
Anataka wawe katika hali ya wastani. Yaani wasikae kimya saana na wasiongee saana. Kumbuka Too Much of Anything is Harmful.
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Dr.bashiru hakuwa mwanasiasa. Hata kama alijidai kuwa mwanasiasa kinadharia hakuwa na chochote alichokisimamia. Kiitikadi hata magufuli pia. Aliamini kwamba ukitenda unapendwa
 
Dr.bashiru hakuwa mwanasiasa. Hata kama alijidai kuwa mwanasiasa kinadharia hakuwa na chochote alichokisimamia. Kiitikadi hata magufuli pia. Aliamini kwamba ukitenda unapendwa
Miaka mitano iliyopita nchi haukuwa na uongozi. Tulipigwa
 
Chakubanga alifanywa hivi tarehe 17, Machi, 2021..........

1638872944736.jpeg


Hatokuja kuisahau hiyo siku, ningekuwa Mchawi ningemroga jinga yule, Wametutesa sana kwa miaka 5 na washamba wenzake, Kosa halitokuja rudiwa tena.
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Dah nimecheka kimyakimya,kazi za siasa kwakweli inatakiwa kila wakati uwe umejiandaa kisaikolojia,anything can happen at anytime,na hasa kwenye hizi nafasi za uteuzi...
 
Back
Top Bottom