Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Bado lile file la kukagua mali za wana CCM linamsuta... maisha ndani ya CCM anayaona magumu mno - ni kama uwe mtoto wa nje afu baba afe ubakie na wale nduguzo wa mama wa kambo - ni balaaa.
 
Dk Bashiru mtasema na kumtungia kila aina ya abunuasi,dk ni mtu ambae hana tamaa anaishi maisha ya kawaida sana,wala msitegemee kumsikia kwenye siasa zenu za maji taka,mnaumia sana kuona yupo kimya,kama mnategemea kumsikia akipiga porojo ilo msahau kabisa.
 
polepole wa zamani na polepole wa sasa kawa wa haraka haraka
 
Hahaaaa
Mwacheni Pole Pole aongee maana ndio anajiponya, Pole Pole ana tabia zetu wanawake Ili tupone yaliyo moyoni lazima tuongee sana na kila mtu, Bashiru ndio itamchukua mda kupona maana ina mkula ndani kwa ndani
 
Dk Bashiru mtasema na kumtungia kila aina ya abunuasi,dk ni mtu ambae hana tamaa anaishi maisha ya kawaida sana,wala msitegemee kumsikia kwenye siasa zenu za maji taka,mnaumia sana kuona yupo kimya,kama mnategemea kumsikia akipiga porojo ilo msahau kabisa.
Aendelee kukaa kimya ili afe kwa sonona iliyoekezwa na dr. Mwakikuma
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Mh, Mwakikuma! Mmmm
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Na Mbowe asaidiweje? Maana kutoka kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni (KUB) hadi kuwa Gaidi linalosota mahabusu ni hali ya kuhitaji msaada mkubwa wa Kisaikolojia!
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Walitengeneza hali hiyo
 
Na Mbowe asaidiweje? Maaa kutoka kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni (KUB) hadi kuwa Gaidi ni hali ya kuhitaji msaada mkubwa wa Kisaikolojia!
Peleka swali lako kwa Dr. Mwakikuma
 
Waacheni, watanzania wapo zaidi ya 60m wanatosha kuchukua nafasi
 
Back
Top Bottom