Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Mwanasaikolojia: Dr. Bashiru asaidiwe atoke kwenye sonona. Na Polepole asaidiwe atoke kwenye rejection

Bashiru hawezi thubutu kuongea chochote kwa kipindi hiki maana ndo mtu anayefatiliwa zaidi ya Mbowe, hii ni kwa namna ninavyoona.
 
Nani aliwaambia wapande bus lenye dereva kichaa.Ukichaa sio misifa ona sasa dereva kagonga mti kafa aliowapakiza bado wana roll na bus wamepoteza dira
 
Ubunge unatosha..ulitarajia apewe nini zaidi labda.

Yeye aliyemteua kuwa mwenezi ndiye huyohuyo aliyemuondoa hapo si baasi.

Na kama alikuwa na mipango nae angemuingiza cabinet..
sasa hakumteua..

na kutomteua maana yake hakuwa kwny mipango yake. na ndio maana hakuwa first choice.

Sasa kama aliyekuwa mteule wake hakumlundia nyadhifa zaidi.kwann mnalazimisha ionekane polepole ametengwa, mara sijui amekataliwa.

Mlitaka raisi wa sasa afanyeje..tena mkijua amerithi baraza lilelile?
 
Ubunge unatosha..ulitarajia apewe nini zaidi labda.

Yeye aliyemteua kuwa mwenezi ndiye huyohuyo aliyemuondoa hapo si baasi.

Na kama alikuwa na mipango nae angemuingiza cabinet..
sasa hakumteua..

na kutomteua maana yake hakuwa kwny mipango yake. na ndio maana hakuwa first choice.

Sasa kama aliyekuwa mteule wake hakumlundia nyadhifa zaidi.kwann mnalazimisha ionekane polepole ametengwa, mara sijui amekataliwa.

Mlitaka raisi wa sasa afanyeje..tena mkijua amerithi baraza lilelile?
Wewe kwa vyovyote vile utakuwa mke wa Bashiru ama Polepole. Maana si kwa povu hilo.
 
Huyo mwanasaikolojia uchwara atakuwa anatokea ufipa.
Mtu kaamua kukaa kimya eti ana sonona. Na anaeongea na shida.

Watu hawana jema.
Bashiru hawezi kudumbikia kwenye siasa za uchafu za matopeni ni mtu mpole sana na mwenye hekima ndi maana ameamua kukaa kimya watu waparuane mara tozo , sukuma gani , mara mama analiponya taifa lakini yoyte hayo mwisho ni 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.

Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.

Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.

Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
 
Bashiru hawezi kudumbikia kwenye siasa za uchafu za matopeni ni mtu mpole sana na mwenye hekima ndi maana ameamua kukaa kimya watu waparuane mara tozo , sukuma gani , mara mama analiponya taifa lakini yoyte hayo mwisho ni 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Hekima gani alishindwa kumshauei Jiwe wakaingia kwneye siasa za kijambazi hadi zikamcost mwenye laana mwendakuzimu yule.
 
Kwa kifupi mwanasaikolojia anataka pole pole akae kkmya kama bashiru Ili aseme ana Sonona

Lakin pia Bashiru apayuke kama polepole ili aseme ana "mental disorder"
Tatizo sio expression ya disorder bali extent ys expressiom of symptoms.

Anything in excess is a disorder.
 
Mwacheni Pole Pole aongee maana ndio anajiponya, Pole Pole ana tabia zetu wanawake Ili tupone yaliyo moyoni lazima tuongee sana na kila mtu, Bashiru ndio itamchukua mda kupona maana ina mkula ndani kwa ndani
Ni laana walizoshiriki kupora haki za watu zinawatafuna.
 
Mwacheni Pole Pole aongee maana ndio anajiponya, Pole Pole ana tabia zetu wanawake Ili tupone yaliyo moyoni lazima tuongee sana na kila mtu, Bashiru ndio itamchukua mda kupona maana ina mkula ndani kwa ndani
Lile jukwaa limekukolea madam...! Huku tunasema 'kumla' kule ndio tunatumia 'kumkula'
 
Bashiru hawezi kudumbikia kwenye siasa za uchafu za matopeni ni mtu mpole sana na mwenye hekima ndi maana ameamua kukaa kimya watu waparuane mara tozo , sukuma gani , mara mama analiponya taifa lakini yoyte hayo mwisho ni 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ni mgeni Tanzania?
Bashiru Ali na Polepole si ndiyo hawa waliokuwa wanaratibu aina ya rushwa inayofaa kuwahonga wabunge na viongozi wengine wa upinzani ili kuunga mkono juhudi ?
Hekima gani unayokusudia hapa ndugu?
 
Back
Top Bottom