Mwanasaikolojia; usipite bila kusema kitu tafadhali

Mwanasaikolojia; usipite bila kusema kitu tafadhali

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Ndg members wote, habari za wakati huu? Ofcoz ni nzuri.

bila kupoteza muda, kama unafahamu chochote kuhusu tatizo hili, naomba neno lako la hekima ukinishauri;
Tatizo langu ni hasira za mara kwa mara!
ndg zangu, baada ya kugundua kuwa nina tatizo hili, nimejitahidi kufanya mazoezi ili kuondokana nalo lakini sijafaulu!

huwa ninakereka sana ninapofanya maamuzi magumu yakiongozwa na tatizo hili, naliita tatizo kwa sababu ni tatizo kweli (limeshanigharimu)

si jambo dogo, wala kubwa linalonijaza hasira; naweza kufanya jambo na baada ya mda kidogo nakuwa mnyonge ninapohisi nimefanya lisilo jema sababu "hasira"

watu wananishangaa sana, namm kuna wakati nahisi hatia sana (japo sijionyeshi)

ok nisiandike sana mpaka nikakera...
nafikiri nimeshaeleweka.
Je, nifanye nini kulidhibiti tatizo hili?
 
When your emotions run too high, your logic will be low, which can lead to irrational decisions

Ukishakua na hasira kaa mbali na kilichofanya upate hizo hasira mpaka utakaporudi kwenye hali ya kawaida
 
Pole sana ndugu nikuombe kitu kimoja kwanza kabisa mtumainie sana Mungu, pili ningalikuomba usome vitabu vya fasihi sana hasa za maisha,iwe kilimo,ufugaji au taaluma ingine yoyote unayoitumikia. na ujaribu sana kutafuta mtu wakuwa unamwomba ushauri kila uonapo kuna swala limekukwaza, na ujifunze kuachia kitu badala ya kubeba kwenye Moyo/rohoni mwako uwe na tabia ya kuachia mambo usiweke kinyongo, mara nyingi huzaa hasira. tungojee na wengine waje waseme.
 
When your emotions run too high, your logic will be low, which can lead to irrational decisions

Ukishakua na hasira kaa mbali na kilichofanya upate hizo hasira mpaka utakaporudi kwenye hali ya kawaida
asante sana
 
Pole sana ndugu nikuombe kitu kimoja kwanza kabisa mtumainie sana Mungu, pili ningalikuomba usome vitabu vya fasihi sana hasa za maisha,iwe kilimo,ufugaji au taaluma ingine yoyote unayoitumikia. na ujaribu sana kutafuta mtu wakuwa unamwomba ushauri kila uonapo kuna swala limekukwaza, na ujifunze kuachia kitu badala ya kubeba kwenye Moyo/rohoni mwako uwe na tabia ya kuachia mambo usiweke kinyongo, mara nyingi huzaa hasira. tungojee na wengine waje waseme.
Ujumbe umepokelewa, asante kwa ushauri wako.
 
Hasira ni kilema cha kiroho,
Na mambo ya kiroho hufanyika kiroho.

1.Mrudie muumba wako, kulingana na Dini yako

2.Jaribu kujenga taswira fulani kichwani, na itafutie ufumbuzi.
Mfano, Jenga taswira umeenda dukani kwa Mangi ukapate pepsi ya baridi, halafu wakati umekaa pake akaja kijana akakukanyaga, au kumwaga soda yako.

Kitu ambacho utafanya mwishowe huenda kitagharimu maisha yako.

Lingine Ukiwa kazini kwako, uwe boss au chini ya hapo, jaribu kutambua kuwa wafanyakazi wenzako/wako Wana matatizo na uwe tayari kusamehe, panapowezekana
 
Kulingana na maandiko ya Suleiman wewe ni mpumbavu.
Hivyo basi kinachopaswa kwako ni kukomesha upumbavu ulioko ndani yako.
Samahani lakini
Screenshot_20221119-104327.jpg
 
Pole sana.
Ndugu kuna maisha uliyaishi kabla na sasa hayo maisha huna.

Una msongo wa mawazo na pia kipato kinakusumbua.

Una vitu vibaya uliwafanyia watu waliokuwa karibu na wewe .

Pole sana ndugu , kabla hatujafika kwenye mambo psychology embu kaa chini tubu dhambi zako.

Sasa jitahidi kusahau uovu wako maana kuna mengine huwezi kuyabadili maana ulishayatenda.

Jisamehe.

Nakuona ukipata auheni sasa anza kuiishi sasa achana na yaliyopita.

Pole sana.
 
Tatizo lipo kwenye past yako, kwenye makuzi yako
Kuna mapungufu unajaribu kuyaficha kwa kuwa na hasira nyingi
 
Ndg members wote, habari za wakati huu? Ofcoz ni nzuri.

bila kupoteza muda, kama unafahamu chochote kuhusu tatizo hili, naomba neno lako la hekima ukinishauri;
Tatizo langu ni hasira za mara kwa mara!
ndg zangu, baada ya kugundua kuwa nina tatizo hili, nimejitahidi kufanya mazoezi ili kuondokana nalo lakini sijafaulu!

huwa ninakereka sana ninapofanya maamuzi magumu yakiongozwa na tatizo hili, naliita tatizo kwa sababu ni tatizo kweli (limeshanigharimu)

si jambo dogo, wala kubwa linalonijaza hasira; naweza kufanya jambo na baada ya mda kidogo nakuwa mnyonge ninapohisi nimefanya lisilo jema sababu "hasira"

watu wananishangaa sana, namm kuna wakati nahisi hatia sana (japo sijionyeshi)

ok nisiandike sana mpaka nikakera...
nafikiri nimeshaeleweka.
Je, nifanye nini kulidhibiti tatizo hili?ingia instagram, mwoce_aid.
 
Tatizo lipo kwenye past yako, kwenye makuzi yako
Kuna mapungufu unajaribu kuyaficha kwa kuwa na hasira nyingi
samahani mkuu weka ka mnofu kidogo hapo, kwa faida yangu

unachokisema kinaweza kuwa kweli
 
Ndg members wote, habari za wakati huu? Ofcoz ni nzuri.

bila kupoteza muda, kama unafahamu chochote kuhusu tatizo hili, naomba neno lako la hekima ukinishauri;
Tatizo langu ni hasira za mara kwa mara!
ndg zangu, baada ya kugundua kuwa nina tatizo hili, nimejitahidi kufanya mazoezi ili kuondokana nalo lakini sijafaulu!

huwa ninakereka sana ninapofanya maamuzi magumu yakiongozwa na tatizo hili, naliita tatizo kwa sababu ni tatizo kweli (limeshanigharimu)

si jambo dogo, wala kubwa linalonijaza hasira; naweza kufanya jambo na baada ya mda kidogo nakuwa mnyonge ninapohisi nimefanya lisilo jema sababu "hak

K
sira"

watu wananishangaa sana, namm kuna wakati nahisi hatia sana (japo sijionyeshi)

ok nisiandike sana mpaka nikakera...
nafikiri nimeshaeleweka.
Je, nifanye nini kulidhibiti tatizo hili?
Kwanza hongera kwa kujijua hiyo ni hatua no1 ya kulitatua tatizo lako

Pili hongera kwa kukubali kwamba upo hivyo

FANYA HAYA...

*Kwanza jifunze kusema samahani unapo kosea na hata inapo tokea aliye kukosea hataki kukuomba msamaha

*Pili kuwa na tabia ya kuskiliza Sana kuliko kuongeza Sana na usikimbilie kujibu kabra hujaelewa
nakama huja elewa uliza kwa sauti ya upole mfano.unaweza uliza hivi.

Samahani hapa sija elewa unaweza kuni elewesha vizuri?

*epuka kuzungumza mtu anapo zungumza
na unapo ona mtu hataki kukupa nafasi ya kuzungumza
FANYA hivi
Zuga Kama simu yako inaita.

Kisha omba samahani kwa ishara kwamba utarudi uongee na simu Kwanza
ondoka eneo Hilo mpaka hakili yako itakapo kuwa sawa

Utakapo kuwa umezoea kufanya hivyo hiyo itakuwa ndiyo tabia yako kwani tabia Nima zoea
 
K

Kwanza hongera kwa kujijua hiyo ni hatua no1 ya kulitatua tatizo lako

Pili hongera kwa kukubali kwamba upo hivyo

FANYA HAYA...

*Kwanza jifunze kusema samahani unapo kosea na hata inapo tokea aliye kukosea hataki kukuomba msamaha

*Pili kuwa na tabia ya kuskiliza Sana kuliko kuongeza Sana na usikimbilie kujibu kabra hujaelewa
nakama huja elewa uliza kwa sauti ya upole mfano.unaweza uliza hivi.

Samahani hapa sija elewa unaweza kuni elewesha vizuri?

*epuka kuzungumza mtu anapo zungumza
na unapo ona mtu hataki kukupa nafasi ya kuzungumza
FANYA hivi
Zuga Kama simu yako inaita.

Kisha omba samahani kwa ishara kwamba utarudi uongee na simu Kwanza
ondoka eneo Hilo mpaka hakili yako itakapo kuwa sawa

Utakapo kuwa umezoea kufanya hivyo hiyo itakuwa ndiyo tabia yako kwani tabia Nima zoea
ushauri kama huu sijawahi kuupata kokote mtaani!

jf ina watu wenye madni yao kichwani! Ahsante kwa mchango wako/wenu kiujumla
 
samahani mkuu weka ka mnofu kidogo hapo, kwa faida yangu

unachokisema kinaweza kuwa kweli
Inawezekana kuna mambo umeyapitia utotoni au ameyaona na bado yanakusumbua
Matatizo mengi ya kisaikolojia chimbuko lanaanzia utotoni
 
Back
Top Bottom