Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

YEHODAYA Rafiki huyu aliyeteuliwa leo AG (nadhani ni huyu aliyeandika article hii) nimesoma hapa umemuita majina yote ya dharau, muhuni, msaliti, mkoloni. Leo naomba maoni yako! Please come and come all Lumumba!
 
@
Kisima leo huyu atatwambia nini kuhusu huyu aliyeteuliwa aliyemuita argent wa imperialism! Leo ni mzalendo?
 
Jinga kabisa wewe! Weka akiba ya maneno kiazi wewe!

Jana uliniita kibaraka wa mwingereza! Kumbe ndo ujinga wako unauonyesha badala ya kuuficha.
Baada ya kukuita kibaraka wa mwingereza Leo hujaandika neno lolote LA kiingereza umebadilika Hongera wewe ambaye ulikuwa kibaraka wa mwingereza aliyekuwa akijivunia lugha koloni ya mwingereza ambaye umebadilika sasa hivi unaandika kiswahili kilichonyooka .Ukibaki hivi ulivyo sikuiti kibaraka wa mwingereza tena.
 
YEHODAYA Rafiki huyu aliyeteuliwa leo AG (nadhani ni huyu aliyeandika article hii) nimesoma hapa umemuita majina yote ya dharau, muhuni, msaliti, mkoloni. Leo naomba maoni yako! Please come and come all Lumumba!
. Reasoning capacity yake inakuwa moderated na matamko ya Makufuli
Sina wasiwasi atamsifu nakusema mtu sahihi wa kupambana na Lissu bungeni
 
YEHODAYA Rafiki huyu aliyeteuliwa leo AG (nadhani ni huyu aliyeandika article hii) nimesoma hapa umemuita majina yote ya dharau, muhuni, msaliti, mkoloni. Leo naomba maoni yako! Please come and come all Lumumba!
KAFUTA ILE COMMENT YAKE
 
Naona Adelardus amekoi na kupaste yale ya Lissu, au naweza kusema hawa magwiji wa sheria wamezungumza jambo moja, tulichopaswa kufanya ni kuwabembeleza na ndio maana mbwe mbwr zote zimeishia kwenye kapuni.

Pamoja na ma international laws yote hayo bado wanaccm walipiga mumo kwa mumo ili na wao wapate. Hahahahahhaaa
 
Duuu hata Adelardus hujamwelewa? Au ni hutyo tu quotes twa kingereza tumekupiteza. Alichosema Lissu hakiko tofauti kabisa na haya.

Tena magufuli akijua huyu jamaa aliwahi kuandika haya anaweza kutengua uteuzi wake? Yaani Adelardus anasema tunaweza kushtakiwa? Hili ni jambo Magufuli hapendi kulisikia japo limeshamla na mpaka sasa holaaaaaaa
 
Hahaha YEHODAYA atafukuzwa ccm hivi karibuni, mkuu wake anatambua wasomi wenye PhD yeye anawaita wasomi koko.
YEHODAYA sasa utaanza kushabikia TLP au ADC?! Na unavyopenda kusifia sijui utaandika nini na hao hawana sifa hahaha
 
Duuh, kwa aina ya ufafanuzi huu...kazi ipo. hivi second year wa LLB anashindwa kuandika hivyo? maskini Tanzania...
 
Siku nyingine uwe unaweka akiba ya maneno!
Angalia namna ambavyo leo umeaibika!
Hatahivyo,nadhani huwa huna haya,Si ndiyo?
 
Umesoma kipengele # 22? Hiyo hoja hakuitoa Lissu?vilevile mkamuita msaliti na akaponea kuuwawa pengine kwasababu hiyo ya kusema ni msaliti kwa Taifa?

22. Ku-review mikataba? Lazima tuwe tume -incorporate kwenye mkataba kipengele kinachohusiana na doctrine ya 'clausula rebus sic stantibus'. Hii ni doctrine inayoruhusu ku-review mkataba kama conditions Fulani zikibadirika. Lazima kifungu hiki kiwe kwenye mikataba. Hawa jamaa walihakikisha hakimo kwenye mikataba yetu. Kwa hiyo ukianza process ya ku-review unilaterally watasema umevunja principle ya 'fair and equitable treatment'.
 
Kama limempa cheo, wapambe wake walitaka kumuuwa mtu risasi kwa maneno kama hayo tu.

Sioni tofauti kubwa kati ya aliyosema huyu AG mpya na aliyosema Lissu.
They are the same, Exactly the same! Akiyaona haya aliyemteua atamtumbua mara moja kuwa kumbe unatawaliwa na mawazo ya Lisu, ... Yehodaya unasemaje?



Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
 
Theu are the same, Exactly the same! Akiyaona haya aliyemteua atamtumbua mara moja kuwa kumbe unatawaliwa na mawazo ya Lisu, ... Yehodaya unasemaje?



Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kama siyo siasa za kijinga za hii nchi, Lissu ndo angetakiwa kuwa AG! Assuming huyu amemteua baada ya kuona haya aliyoyasema!

Personally, sidhani kama hajayaona.

Kipanya alikuwa sahihi kwenye ile katuni yake ya mkuu akijipiga risasi ya mguu!
 
hapakuwa na sababu ya kumpiga Risasi. Lisu will always be a HERO! UZAO ULIOBARIKIWA
Bahati mbaya katuni sikuiona. Niwekee tafadhali kama umeitunza
 
Na Lisu alisema tatizo kubwa ni mikataba tuliyosaini na sheria za kimataifa .. MIGA, ICSDI??? (rekebisha)... yote alitasema Lisu, utadhani huyu Dk. amekopi kwa LISU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…