Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

Ndio attorney General leo
 
Ndo ameteuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa ccm, utakimbia chama au? A retarded personality like you lazima ufikiri kwanza kabla ya kuharisha kwa mdomo wako huu unaotoa kama machinjio ya Vingunguti.
 
Kwa hii andiko uliloandika unastahili kutunukiwa Phd .Mimi self declared university chancellor of presitege jamii forum international professor emiretus Yehodaya kwa mamlaka niliyojipa mwenyewe nakutunuku PHd ya Ubwege
Umebaki kuwayawaya tu kama machela!
 
Ndo ameteuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa ccm, utakimbia chama au? A retarded personality like you lazima ufikiri kwanza kabla ya kuharisha kwa mdomo wako huu unaotoa kama machinjio ya Vingunguti.
Sikimbii CCM ng'oo nampongeza kwa kuchaguliwa.unachekesha angalia takwimu wanaohama Chadema kwenda CCM na wanachama CCM wanaohama kwenda Chadema nani wengi? CCM chama dume Mimi nimemeza nembo ya CCM sihami kirahisi
 
Wakati unamshambulia uliona ni vizuri lakini wewe sasa hivi unalialia nini? Tulia dawa iingie, mfia chama koko wewe. Mlamba viatu mkubwa. Nina mashaka kama bado marinda zako ziko intact kwa style hii ya kimbelembele na kujipendekeza. Unaudhi sana....
 
Ndio attorney General leo
Hongera zake Chadema nafasi Kama hiyo mtaisikia kwenye radio na TV vyeo vyenu vya juu ni udiwani na ubunge mkijitahidi sana umeya.Wagombea waliokaa miaka msingi udiwani na ubunge ni Chadema ni bunge na udiwani linajisifia ohhh mimi miaka 15 mbunge au diwani mfululizo loooo miaka 15 hujawa naibu waziri au mkuu wa mkoa au jaji au mwanasheria mkuu au balozi loooo ujinga mtupu.Hivi watoto wakiuliza Wewe siku zote mbunge au diwani unawajibu nini?
 
Wanajadili upumbavu wako!

Yaani jinsi ulivyo mpumbavu.
 
kabala ya kuanza kuchimba katika mafuta na madini huwa kunakitu kinaitwa feasibilty study. kutokana na kitu hiki ni lazima investment analysis ifanyike na ikifanyika lazima ieleze watachimba kiasi gani kwa mwaka na mgodi utachukua miaka mingapi na pamoja na hapo wanaeleza watachimba kwa aina gani na watachenjua kwa vifaa ngani na wapi. hivyo kabla ya kuomba leseni huwa wameeleza hayo na maana hiyo wanakuwa wameeleza wataenda kuchenjua wapi ndani au inje. report hii ndiyo inatumika kuombea leseni ya kuchimbia kwa maana hiyo ukikataa report hiyo na taratibu hizo hivyo hutawapa leseni ya kuchimbia na kama utaikubali ndiyo mtatengeneza mining development agreement. kwa maana hii swala la kuwa madini yatachejuliwa ndani au inje ya inch ni swala ambalo huwa lipo wazi hata kabla ya kutoa leseni na kwa maana hii huwezi kuhusishanisha permanent sovereignty imevunjwa kwa kigezo cha kusafilisha madini kwa ajili ya kuchenjua. kwa lugha nyingine permanent sovereignty inazungumuzia umiliki na siyo utachenjua wapi na kuuza wapi.
KWANI WEWE UKIBEBA MADINI YAKO UKAENDA KUCHENJUA MWENYEWE NA UKAYALUDISHA NYUMBANI KWAKO KUNATATIZO GANI?. THE ISSUE YA KUSAFILISHA HAPA IMEJIKITA KUWA WANATUDANGAYA KIWANGO KILICHOMO PIA TUNAPOTEZA AJIRA NA SIYO SWALA LA PERMANENT SOVEREGNITY HAPA.
 
N
Na Lisu alisema tatizo kubwa ni mikataba tuliyosaini na sheria za kimataifa .. MIGA, ICSDI??? (rekebisha)... yote alitasema Lisu, utadhani huyu Dk. amekopi kwa LISU
Ni expert wa sheria, na amefanya kazi kwa muda mrefu na PHD yake ni kuhusu mafuta na Gesi, kwa hiyo lazima aingie ndani katika mikataba ya kimataifa kuhusu rasilimali. Lakini WTZ kila mmoja ameshakuwa mjuaji bila kujali taaluma ya mwenzake.
 

Hii comment yako pia tunaiifadhi iko Siku tutaitumia km reference
 
Poa tu Binadamu hubadilika akina Anna Mgwira, kitila mkumbo ,wabunge akina molell ,mtulia nk ,Dk slaa mbona wamebadilika? Nawapongeza Hainipi shida una swali lingine mkuu ?
Hakuna walichobadilika katika misimamo yao zaidi ya kutambua juhudi za rais. Tatizo uwezo wako wa kufikiri umajikita nani kasema nini! ungekuja na counter argument za kisheria dhidi ya Dr Kilangi, ungeweza kuelimisha watu zaidi ya kuja na hoja za kwenye kanga, mbona fulani, oh agent wa kitu fulani nk.
 
hapakuwa na sababu ya kumpiga Risasi. Lisu will always be a HERO! UZAO ULIOBARIKIWA
Bahati mbaya katuni sikuiona. Niwekee tafadhali kama umeitunza
Hiyo katuni ntaitafuta mkuu nikuwekee hapa.
 
Poa tu Binadamu hubadilika akina Anna Mgwira, kitila mkumbo ,wabunge akina molell ,mtulia nk ,Dk slaa mbona wamebadilika? Nawapongeza Hainipi shida una swali lingine mkuu ?
Mkuu umeshavuliwa nguo chutama ndio uungwana. Kwa tunaomfahamu Kilangi hata kabla ya kuwa mwanasheria tunakushangaa tu. Dr. Kilangi msimamo wake huwa haubadiliki wala hayumbishwi katika kuusimamia ukweli. Labda utwambie kuwa wewe ndiwe uliyebadilika.
 
Mkuu umeshavuliwa nguo chutama ndio uungwana. Kwa tunaomfahamu Kilangi hata kabla ya kuwa mwanasheria tunakushangaa tu. Dr. Kilangi msimamo wake huwa haubadiliki wala hayumbishwi katika kuusimamia ukweli. Labda utwambie kuwa wewe ndiwe uliyebadilika.
Kuna maeneo hufikia mahali kukubaliana kutokubaliana ni kawaida na ni demokrasia sio lazima nikubaliane naye na yeye si lazima akubaluane na mimi kwa kila kitu hata kama wote ni CCM
 
Unaweza onesha ni wapi msimamo wa lisu unaendana na Huyu?
 
Unaweza onesha ni wapi msimamo wa lisu unaendana na Huyu?
hata ukipewa ufafanuzi utaelewa kweli? tundu lissu kaitwa msaliti na ma inzi ya kijani hadi kupewa kebehi siku ya kupokea report ya tume baada ya kuonya kuhusu MIGA na mali kutaoifishwa,akaonya kama tunataka kuwataifisha basi tujitoe kwanza MiGA,na mswaada upelekwe bungeni,yaliyomtokea baada ya hapo wote tunayajua sasa msome AG mpya alichoandikaga hapo na usije kuuliza mbona hatukushtakiwa maana nitakuuliza mbona hatukutaifisha mali za kampuni iliyotuibia trillioni 420 huku ikifanya kazi bila usajili unless kama uliridhika na maigizo ya kishika uchumba cha 300 million dollars
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…