Mwanasheria Marando kutetea wahalifu

Mwanasheria Marando kutetea wahalifu

Ni ujanja wa kisomi kwa wasiosoma!!!!

Kama kuna watu wa kuwa nao makini ni hawa haswa wenye majina!!!!!!!
Halafu ni cycle ya walio na hiyo taaluma, jioni viti virefu mchana huyu hakimu au judge na yule wakili!!!!

Wote viti virefu wanaweza kuwa wanatumia malipo ya mteja mwenye pesa!!!! Watataka kubisha hapa as if hakimu au judge wakitoka na wakili wakili huwa halipi!!!!!!

Puzzle! !!!!

Mkuu hii bado haiondoi need ya adequate legal represantation ya mtuhumiwa.
 
There is presumption of innocence before proved guilty,he defend accused persons and not guilty even if it is on appeal stage the presumpttion prevails hence nothing wrong as far as he accomplish his duty effectively and shows right of the accused person to have representative for observing natural justice principles
 
There is presumption of innocence before proved guilty,he defend accused persons and not guilty even if it is on appeal stage the presumpttion prevails hence nothing wrong as far as he accomplish his duty effectively and shows right of the accused person to have representative for observing natural justice principles

Mweh! Na wewe ni 'learned'?
 
Kosa la mheshimiwa sana marando ni hili: Mwembeyanga anawataja mafisadi 11. Tena kwa kupaza sauti na kutoa wito kwa peoples tuwashambulie hao face of shame.
Kesho yake mahakamani anawatetea haohao face of shame kuwa wateja wake hawakuchukua hizo fedha za EPA. kipi sahihi. Mwembeyanga au Mahakamani?
 
There is presumption of innocence before proved guilty,he defend accused persons and not guilty even if it is on appeal stage the presumpttion prevails hence nothing wrong as far as he accomplish his duty effectively and shows right of the accused person to have representative for observing natural justice principles

Are you a learned brother?
 
There is presumption of innocence before proved guilty,he defend accused persons and not guilty even if it is on appeal stage the presumpttion prevails hence nothing wrong as far as he accomplish his duty effectively and shows right of the accused person to have representative for observing natural justice principles
I do concur with you
 
Back
Top Bottom