Chaguo lake.............. Ushawahi sikia katika historia ya TZ mtu akafukuza chaguo lake...............??? Kwa vile tushazowea kulitwa.......TWAROPOKA TUUUUUUKwa hiyo Kawaita Pinda, Agustino Ramadhani, Mkapa, Slaa, Mnyika, Warioba n.k kuwa ni Mabata kwanini kikwete asimfukuze kazi?
Aisee huyu mzee niliwahi kufanya nae kazi kweli anadharau sana...!
Ni mtu wa amri, ukali na sio friendly kabisa kabisa. He is typical Mkurya na ana tabia ya kujivuna sana kwa kuona wengine hawaweza kazi kabisa...! Lets wait and see him, this is just the beginning of his weird answers...!
Uko sahihi kabisa ndugu yangu!...hasa hasa kutoka kaskazini magharibi mwa nchi yetu....Mkuu hicho ndicho kinachoitafuna tz, majirani zetu wamepandikiza watu wao ambao wako tz kwa ajili ya kuua kila kitu-Reli, Umeme, bandari Airports ili washamiri wao tu-chunguzeni mtapata majibu ya haya nayoyasema!
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?