kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,217
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja.
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?
Viongozi wetu need to be serious and should think twice before making any comment, they annoy u know, boring.
Namuunga mkono mhariri huyu Mwanasheria mkuu "Amepotoka! Katiba mpya haiepukiki; na maji yakimwagika hayazoleki"
Tahariri Tz daima..Mwanasheria mkuu amepotoka
Habari leo Werema: katiba mpya ya nini?HabariLeo | Werema: Katiba mpya ya nini?