TANZIA Mwanasheria Mkuu wa Kwanza Mzalendo na Jaji Mstaafu Mark Bomani afariki dunia

TANZIA Mwanasheria Mkuu wa Kwanza Mzalendo na Jaji Mstaafu Mark Bomani afariki dunia

Magufuli ni noma. Hata hii hakwenda msibani😭😭😭😭
 
Baba yao alikufa wakiwa wadogo sana ,nasikia mwalimu nyerere aliwalea kama watoto zake wa kuzaa,wadigo wa zamani walisoma sana sijui what happened latter
Tatizo Uswahili
 
Mbowe aliyezaliwa 1961 utamlinganisha JK?
JK kamzidi mbowe miaka 11 Sasa gap kubwa liko wapi kati yake na Jk na Bomani aliezidiwa miaka 20 yaani ni sawa na mwanae ? Jk mwenyewe anamuita mkapa kaka ambaye kamzidi miaka 14
 
Aliemlinganisha Jk na Bomani yuko serious? Yaani Bomani aliefanya kazi na baba yake Jk wakulinganishwa na mtoto huu mzaha
Bomani na Kikwete wamepishana miaka 18 huu ni kwa mujibu wa miaka yao waliyozaliwa..Ila kwenye siasa na uongozi tunaweza kupima umri wa mtu kwa kuzingatia kipindi alichotumika kwenye uongozi bila kujali wamepishana umri kwa kiasi gani...

Mfano 1;Mzee mwinyi na Hayati Sokoine wamefanya kazi pamoja chini ya serikali ya Mwalimu Nyerere lakini Umri wao ulitofautiana sana kwa miaka 13.

2;Mzee kikwete na Hayati Mkapa wote waliudumu katika serikali ya Mzee Mwinyi ila tofauti yao kiumri ni miaka 12,wote hawa walifanya kazi kipindi kimoja japo kuwa Mzee Mkapa alikuwa ametangulia kuanza kufanya kazi za uongozi..

Marehemu mzee Bomani na Mzee kikwete kwa pamoja wamefanya kazi pamoja na ikumbukwe kuwa hata kinyan'ganyiro cha uraisi 1995 Bomani alishiriki na kufanikiwa kushika namba 4 Nyuma ya Kikwete na Mkapa..hivyo basi kwa kuyaangalia haya utaona hawa watu wamefanya siasa pamoja tena kwa muda mrefu tukizingatia kuwa kuna wengine waliingia kwenye uongozi angali wakiwa wadogo..

Mzee Nyerere na Mzee mwinyi walipishana miaka mitatu tu ya kuzaliwa lakini kwenye uongozi ni generation mbili tofauti na watu waliofanya kazi na Mwalimu kwa ukaribu Hayati Mfaume Kawawa na Oscar Kambona ni rika moja kabisa na Mwinyi...

My take:Kigezo cha umri hakitoi hitimisho kwenye uongozi na Siasa bali hutegemea ni kipindi kipi ulitumika iwe Kwa kuwahi ama kuchelewa.
 
Huku upinzani kuna mpuuzi mmoja anajifanya anajua kila kitu.
angekutana na hawa ma nguli sijui angeishia wapi
 
Hivi hawanaga kwao hawa kila siku kutujazia Makaburi ya Kinondoni? Pale wanatakiwa wazikwe watu wasio na uwezo wa kusafirishwa
 
Bomani na Kikwete wamepishana miaka 18 huu ni kwa mujibu wa miaka yao waliyozaliwa..Ila kwenye siasa na uongozi tunaweza kupima umri wa mtu kwa kuzingatia kipindi alichotumika kwenye uongozi bila kujali wamepishana umri kwa kiasi gani...

Mfano 1;Mzee mwinyi na Hayati Sokoine wamefanya kazi pamoja chini ya serikali ya Mwalimu Nyerere lakini Umri wao ulitofautiana sana kwa miaka 13.

2;Mzee kikwete na Hayati Mkapa wote waliudumu katika serikali ya Mzee Mwinyi ila tofauti yao kiumri ni miaka 12,wote hawa walifanya kazi kipindi kimoja japo kuwa Mzee Mkapa alikuwa ametangulia kuanza kufanya kazi za uongozi..

Marehemu mzee Bomani na Mzee kikwete kwa pamoja wamefanya kazi pamoja na ikumbukwe kuwa hata kinyan'ganyiro cha uraisi 1995 Bomani alishiriki na kufanikiwa kushika namba 4 Nyuma ya Kikwete na Mkapa..hivyo basi kwa kuyaangalia haya utaona hawa watu wamefanya siasa pamoja tena kwa muda mrefu tukizingatia kuwa kuna wengine waliingia kwenye uongozi angali wakiwa wadogo..

Mzee Nyerere na Mzee mwinyi walipishana miaka mitatu tu ya kuzaliwa lakini kwenye uongozi ni generation mbili tofauti na watu waliofanya kazi na Mwalimu kwa ukaribu Hayati Mfaume Kawawa na Oscar Kambona ni rika moja kabisa na Mwinyi...

My take:Kigezo cha umri hakitoi hitimisho kwenye uongozi na Siasa bali hutegemea ni kipindi kipi ulitumika iwe Kwa kuwahi ama kuchelewa.
Sikuelewa dhamira yako hasa, japo umejitahidi Kueleza, kushika nafasi 4 na umri vimeingiliana vipi? Huyo kijana mwenzio anajiita Pohamba alijaribu kupotosha kwa kusema jakaya kikwete anaelewa vyema utendaji wa Bomani nikamkatalia nawewe pia nikuelekeze vilevile, jakaya ni mtoto mdogo kwa Bomani regardless aliteuliwa Bomani na jakaya au vinginevyo, huenda hujui kwamba baba yake jakaya Alifanya kazi na Mark Bomani, hivyo Mtu aliefanya kazi na Baba yako wewe ukiwa katoto hawezi kuwa agemate
 
Bomani na Kikwete wamepishana miaka 18 huu ni kwa mujibu wa miaka yao waliyozaliwa..Ila kwenye siasa na uongozi tunaweza kupima umri wa mtu kwa kuzingatia kipindi alichotumika kwenye uongozi bila kujali wamepishana umri kwa kiasi gani...

Mfano 1;Mzee mwinyi na Hayati Sokoine wamefanya kazi pamoja chini ya serikali ya Mwalimu Nyerere lakini Umri wao ulitofautiana sana kwa miaka 13.

2;Mzee kikwete na Hayati Mkapa wote waliudumu katika serikali ya Mzee Mwinyi ila tofauti yao kiumri ni miaka 12,wote hawa walifanya kazi kipindi kimoja japo kuwa Mzee Mkapa alikuwa ametangulia kuanza kufanya kazi za uongozi..

Marehemu mzee Bomani na Mzee kikwete kwa pamoja wamefanya kazi pamoja na ikumbukwe kuwa hata kinyan'ganyiro cha uraisi 1995 Bomani alishiriki na kufanikiwa kushika namba 4 Nyuma ya Kikwete na Mkapa..hivyo basi kwa kuyaangalia haya utaona hawa watu wamefanya siasa pamoja tena kwa muda mrefu tukizingatia kuwa kuna wengine waliingia kwenye uongozi angali wakiwa wadogo..

Mzee Nyerere na Mzee mwinyi walipishana miaka mitatu tu ya kuzaliwa lakini kwenye uongozi ni generation mbili tofauti na watu waliofanya kazi na Mwalimu kwa ukaribu Hayati Mfaume Kawawa na Oscar Kambona ni rika moja kabisa na Mwinyi...

My take:Kigezo cha umri hakitoi hitimisho kwenye uongozi na Siasa bali hutegemea ni kipindi kipi ulitumika iwe Kwa kuwahi ama kuchelewa.
Mkapa kaanza kazi miaka ya sitini baada ya uhuru sijui nani kakudanganya kwamba alianza awamu ya mwinyi, mwinyi akiwa waziri na mkapa alikuwa waziri
 
Mkapa kaanza kazi miaka ya sitini baada ya uhuru sijui nani kakudanganya kwamba alianza awamu ya mwinyi, mwinyi akiwa waziri na mkapa alikuwa waziri
Hawa viongozi wengi wamedanganya umri ni wakubwa sn sema wanapata matibabu mazuri, lishe bora hawajui changamoto za maisha.
 
Hivi hawanaga kwao hawa kila siku kutujazia Makaburi ya Kinondoni? Pale wanatakiwa wazikwe watu wasio na uwezo wa kusafirishwa
Wasukuma waliooa wachaga wanaishia kuzikwa Kinondoni 😂😂.Huyu angeoa msukuma mwenzake,hakika angezikiwa kwao Mwanza.
 
Kama yupi amewahi kupelekwa? Watu wa Kanda hiyo hampendi kwenu wala kujenga hata Bhoke Mnaka nae mlizika hapo na umaarufu wake
Ila Paul Bomani pamoja na kuoa mchaga yeye alizikwa Mwanza. Iam sure Mark alichangia kaka yake azikwe Mwanza. Mark najua kabisa angependa azikwe alikozikwa kaka yake. Sema maiti hana sauti.
 
Bomani na Kikwete wamepishana miaka 18 huu ni kwa mujibu wa miaka yao waliyozaliwa..Ila kwenye siasa na uongozi tunaweza kupima umri wa mtu kwa kuzingatia kipindi alichotumika kwenye uongozi bila kujali wamepishana umri kwa kiasi gani...

Mfano 1;Mzee mwinyi na Hayati Sokoine wamefanya kazi pamoja chini ya serikali ya Mwalimu Nyerere lakini Umri wao ulitofautiana sana kwa miaka 13.

2;Mzee kikwete na Hayati Mkapa wote waliudumu katika serikali ya Mzee Mwinyi ila tofauti yao kiumri ni miaka 12,wote hawa walifanya kazi kipindi kimoja japo kuwa Mzee Mkapa alikuwa ametangulia kuanza kufanya kazi za uongozi..

Marehemu mzee Bomani na Mzee kikwete kwa pamoja wamefanya kazi pamoja na ikumbukwe kuwa hata kinyan'ganyiro cha uraisi 1995 Bomani alishiriki na kufanikiwa kushika namba 4 Nyuma ya Kikwete na Mkapa..hivyo basi kwa kuyaangalia haya utaona hawa watu wamefanya siasa pamoja tena kwa muda mrefu tukizingatia kuwa kuna wengine waliingia kwenye uongozi angali wakiwa wadogo..

Mzee Nyerere na Mzee mwinyi walipishana miaka mitatu tu ya kuzaliwa lakini kwenye uongozi ni generation mbili tofauti na watu waliofanya kazi na Mwalimu kwa ukaribu Hayati Mfaume Kawawa na Oscar Kambona ni rika moja kabisa na Mwinyi...

My take:Kigezo cha umri hakitoi hitimisho kwenye uongozi na Siasa bali hutegemea ni kipindi kipi ulitumika iwe Kwa kuwahi ama kuchelewa.
Hongera..uko vizuri...mkuu..
 
Back
Top Bottom