Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu, ameshindwa kumshauri 'kisheria/kikatiba' Rais Samia S Hassan

Pia Rais ali hutubia Baraza jana ukutani ku kiwa na Picha ya JPM. Ni kosa Kubwa!!
Inatakiwa kwenye ofisi zoote tangu alipoapishwa Samia kuwe na picha yake Mh. Rais Samia.

Lakini naona kwenye kitengo cha Protocol kuna shida mahali; Samia kupewa pen nyeusi badala ya nyekundu, kuendelea kuonekana picha ya JPM wakati tuna Rais mpya n.k
 
Watu watatu 3 hawa;

1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, nafikili anaitwa Kilangi

2. DPP

3. Solicitor General - Gabriel Malata.

Hawa watu walichangia sana kuminya haki za Watanzania.
Tuzidi kumuombea mama Samia awaondoe kabisa hawa watu
 
Huyo mwanasheria ni bomu kabisa
 

Hawa ndio walimzunguka bwana yule!! Enzi hizo kila kitu cha sheria walikuwa wanakandamizia kwa Lissu. Lissu akisema kulia geuka wote kuanzia mkuu wao wakitii na waligeuka.
 
katika mambo ya kupigania kurekebisha katika katiba ni kama haya yanayoleta mkanganyiko sasa siyo mnalalamikia tu mambo mengine yasiyo na msingi hebu angalia katiba inasema baada ya kuapa ataliongoza balaza la mawaziri tls wanasema halipo sasa kipi ni kipi ataongozaje balaza ambalo kwamujibu wa tls halipo katiba haikutoa maelezo yanayojitosheleza
 
Inawezekana sie tuna sema samia kakosea kumbe rais alikufa kabla ya yar 17 labda ndio maana samia akasema maombolezo iwe siku 14 tu maana yake alikufa mapema
 
Walitaka kumdhuluma mama haki yake! Kwa ufupi ma-CCM ni mapumbavu! Nasikia jeshi liliwapa masaa vinginevyo lingetangaza Rais wake, TISS na Ma-ccm yakanywea! Pumbavu kabisa! Mama ayapige chino yote yaliyoteuliwa na Magu aanze upya! Mbona miaka mitano ni mingi hii?
 
Kiukweli huyo mwamba apigwe chini, Jiwe alikuwa hafati katiba na Sheria inawezekana hata jamaa naye aliona hakuna haja ya kupitia pitia katiba [emoji39][emoji2]

Mnaongea sana kuhusu katiba. Sema hapa Wapi ambapo kavunja katiba
 
Yote haya ni shauri ya Jiwe! Mzee alikuwa inagawa vyeo kindugu, maana huyu wanatoka mkoa mmoja na ni jamaa yake wa karibu sana! Mama atafute mtu sahihi! Amweke hata huyo Rais wa TLS atamsaidia sana!
Acha uongo hakuna chembe ya ukaribu wala kabila. Mzushi wewe.
 
Acha uongo wa kupindukia! Ndiyo maana ikatungwa sheria kwa watu kama ninyi na usidhani avatasr inakuficha. Kama unamtegemea Mello, hawezi kutetea.
 
Ushahidi!
 
Kama unataka kuona uzuri wa jeshi andalia Ugana, Congio, Nyamar (Burma), Burundi, na Libya! Hiyo nafasi ya kuandika humu hutaipata maana internet zitafungwa. Tuone kama utasimama Kariakoo kuropoka unayoropoka.
 
Acha uongo wa kupindukia! Ndiyo maana ikatungwa sheria kwa watu kama ninyi na usidhani avatasr inakuficha. Kama unamtegemea Mello, hawezi kutetea.
Nyamazaaaaa!!
 
Tusubiri tumzike baba,ndipo tuliamshe dude
 
Kama unataka kuona uzuri wa jeshi andalia Ugana, Congio, Nyamar (Burma), Burundi, na Libya! Hiyo nafasi ya kuandika humu hutaipata maana internet zitafungwa. Tuone kama utasimama Kariakoo kuropoka unayoropoka.
Hiyo simu yako ina-scratch etiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…