Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Jaji Mkuu wajitokeze Kujibu au kufafanua Hoja za Tundu Lissu. Hawa wengine wanajichanganya tu

Tuwekee tu hapa Doctor. Hutopungukiwa
Hakuna atakayekuwekea. Ndio maana hutaona hata mchangiaji mmoja anaziandika kwa sababu zinajulikana.

Utaona tu watu wakichangia.

Kazitafute.
 
Hakuna atakayekuwekea. Ndio maana hutaona hata mchangiaji mmoja anaziandika kwa sababu zinajulikana.

Utaona tu watu wakichangia.

Kazitafute.
Keshaweka hapa hoja ya Muungano ambayo kwa kawaida haijibiki kwa sababu mwenye liMuungano lake hayupo
 
Hoja ya kisiasa hujibiwa kisiasa. Wacha Kinana na Hapi wajibu hoja za Lissu. Sisi wananchi tutajua ukweli wa mambo.
 
yaani kibaraka ajibiwe na muhimili wa dollar, wenye kazi na majukumu mazito na muhimu sana ya kuwatumikia wanainchi kwa haki, usawa na uhuru πŸ’

dharau hizo kubabaika na kibaraka πŸ’
 
Kujibu hoja hakutatui changamoto za Watanzania!

Hizo ni sarakasi za siasa tuu..
Watz wanapenda sifa sana... Waonekane Wana akili, huo ni ujinga tuuu.

Tujikite kuijenga nchi yetu! Nchi Ina shida nying sana tunaenda kwa neema ya Mungu
 
yaani kibaraka ajibiwe na muhimili wa dollar, wenye kazi na majukumu mazito na muhimu sana ya kuwatumikia wanainchi kwa haki, usawa na uhuru πŸ’

dharau hizo kubabaika na kibaraka πŸ’
Haki, usawa na uhuru??? Vichekesho.
 
Kujibu hoja hakutatui changamoto za Watanzania!

Hizo ni sarakasi za siasa tuu..
Watz wanapenda sifa sana... Waonekane Wana akili, huo ni ujinga tuuu.

Tujikite kuijenga nchi yetu! Nchi Ina shida nying sana tunaenda kwa neema ya Mungu
Nchi itajengwa juu ya Mawe? Huna pointi.
 
AG & CJ si wasomi wa kulisaidia taifa,wapo pale kwaajili ya matumbo yao.
 
Makala huyu huyu jamani, ni wa kuonewa huruma
 
Samahani nadhani nilipitwa kidogo. Hizo hoja ni zepi? Tuwekee hapa km hutojali
Lissu hakusema Mzanzibar asifanye maamuzi Bara.

Lissu amesema Mzanzibar kuziacha salama bandari na ardhi za Zanzibar huku anauza na kugawa bandari na ardhi za Bara ni ushahidi kwamba Tanganyika inadhulumiwa na Rais Mzanzibari asiye na uchungu na Tanganyika, na kwamba Muungano huu unabaka haki, rasilimali na maslahi ya Tanganyika.
 
Njia rahisi ya wao kujibu HOJA za Lissu ni KUKUBALIANA na HOJA zake..kinyume cha hapo na wao,WATACHAFUKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…