Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpaka sasa watu wanaoaminika kwa hoja na weledi ndani ya Chama cha Mapinduzi Ndugu Comrade Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama Taifa na Ndugu Ali Happy ambaye mpaka sasa sijui cheo chake wamejitokeza kujaribu kujibu Hoja za Tundu Lissu.
Anasema muungano ni hasara kwa Tanganyika.Msaidie ajue faida zake!Samahani nadhani nilipitwa kidogo. Hizo hoja ni zepi? Tuwekee hapa km hutojali
Mpaka sasa watu wanaoaminika kwa hoja na weledi ndani ya Chama cha Mapinduzi Ndugu Comrade Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama Taifa na Ndugu Ali Happy ambaye mpaka sasa sijui cheo chake wamejitokeza kujaribu kujibu Hoja za Tundu Lissu.
Wakati wa wiki mbili zilizopita Mh Wakili Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Taifa Chadema alimwaga sumu ktk Mikoa takribani sita, sumu hiyo isiyoua bali inayolenga kuwapa Mwangaza Watanzania wote kuhusu Mstakabali wa Nchi yao na uongozi.
Hata hivyo inaonekana Damage aliyosababisha Tundu Lissu kwa chama Tawala is beyong Repair.
Baada ya Magwiji hao wa kisiasa Kinana na Ali Hapi kujitokeza kujibu na kufafanua wamejikuta wanajichanganya tu wao wenyewe na kuwachanganya wasikilizaji wao.
Mkanganyiko huo si vema tukauruhusu kuendelea maana unawaweka Wananchi Njia Panda au waendelee kuamini yale waliyofundishwa na Mh Tundu Lissu.
Niumbe kwa Heshima na Tadhima watu wenye ueledi kwa level sawa na ya Lissu wajitokeze ktk sehemu ya kuitumikia Taifa wafafanue na kunyoosha mabonde mabonde yaliyoachwa.
Mh Mwanasheria Mkuu na Jaji Mkuu ni watu tunaoamini wana weza kazi hii kwa kiwango kikubwa na kufuta sintofahamu inayoendelea.
Waheshimiwa wasomi jitokezeni muokoa Jahazi.
Nawatakia kazi njema watumishi woote Nchini, tukutane 2025
Nyerere ukamfufue kaburini? tunataka solution ya huu muungano fake ambao ni wanzazibar pekee ndiyo wana haki
Basi tulivunje hili LiMuungano tumrudishie NyerereLissu hakusema Mzanzibar asifanye maamuzi Bara.
Lissu amesema Mzanzibar kuziacha salama bandari na ardhi za Zanzibar huku anauza na kugawa bandari na ardhi za Bara ni ushahidi kwamba Tanganyika inadhulumiwa na Rais Mzanzibari asiye na uchungu na Tanganyika, na kwamba Muungano huu unabaka haki, rasilimali na maslahi ya Tanganyika.
Alisikika kigagula toka mitaa ya LumumbaHakuna Hoja yoyote
Hao niliowataja ni nafasi zinazotokana na siasa na wanateuliwa kisiasa na siasa ndio zinazotunga hizo sheria na kanuniz za mahakama wanazosimamia waoMambo yanayobishaniwa ni ya Kisiasa.... awaachie Wanansiasa.
Issue ambayo ilikuwa inawahusu, issue ya Bandari, Mwanasheria Mkuu akuizungumzia. Wataongea kama watapewa maelekezo.
Acha kuombea mabaya wenzio.
Ni level ya mkulima wa pilipili🐼Alisikika kigagula toka mitaa ya Lumumba
Wao ni watumishi wa umma kwa maslahi ya umma na TaifaUsisahau pia kwamba hao uliowataja wameteuliwa na nani.
Mzee kama husomi always itakuwa dhaifu kwenye area yako ya professionWanasoma saa ngapi na kufanya tafiti zaidi ya kufukizia posho na kuiba mali za umma?
Watu wengi wanaweza kumjibu sema hawana tu ujasiriLisu anaweza kujibiwa na watu kama Shivji, Bangoza au Kitima hawa wengine ni vilaza hawajui kitu yoyote
Kama hawatokei maana wameshindwaWatu wengi wanaweza kumjibu sema hawana tu ujasiri
Ndiyo chagamoto ya wasomi wetuMzee kama husomi always itakuwa dhaifu kwenye area yako ya profession