Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Jaji Mkuu wajitokeze Kujibu au kufafanua Hoja za Tundu Lissu. Hawa wengine wanajichanganya tu

Mpaka sasa watu wanaoaminika kwa hoja na weledi ndani ya Chama cha Mapinduzi Ndugu Comrade Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama Taifa na Ndugu Ali Happy ambaye mpaka sasa sijui cheo chake wamejitokeza kujaribu kujibu Hoja za Tundu Lissu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Mambo yanayobishaniwa ni ya Kisiasa.... awaachie Wanansiasa.

Issue ambayo ilikuwa inawahusu, issue ya Bandari, Mwanasheria Mkuu akuizungumzia. Wataongea kama watapewa maelekezo.
 
Nyerere ukamfufue kaburini? tunataka solution ya huu muungano fake ambao ni wanzazibar pekee ndiyo wana haki

Basi tulivunje hili LiMuungano tumrudishie Nyerere
 
Mambo yanayobishaniwa ni ya Kisiasa.... awaachie Wanansiasa.

Issue ambayo ilikuwa inawahusu, issue ya Bandari, Mwanasheria Mkuu akuizungumzia. Wataongea kama watapewa maelekezo.
Hao niliowataja ni nafasi zinazotokana na siasa na wanateuliwa kisiasa na siasa ndio zinazotunga hizo sheria na kanuniz za mahakama wanazosimamia wao

Tafuta sababu nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…