Mwanasheria Mkuu wa Serikali; zoezi la kutafasiri sheria zote kwa lugha ya Kiswahili kukamilika mwezi Novemba.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali; zoezi la kutafasiri sheria zote kwa lugha ya Kiswahili kukamilika mwezi Novemba.

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema kuwa zoezi lililo kuwa linaendelea la kuzitafasiri sheria mbalimbali kutoka lugha ya Kiingereza kwenda kwenye lugha ya Kiswahili zoezi hilo litakamilika Mwezi Novemba mwaka huu 2024.

Sisi wananchi tunaipongeza Wizara ya Katiba kwa kazi nzuri inayo ifanya, ila kwa upande wa Mahakama pia tunaomba Hukumu za wananchi ziandikwe kwa lugha yetu ya taifa ya Kiswahili, kwani hadi sasa bado mahakama zetu zinaandika kwa lugha ya Kizungu!!
tunaomba utekelezaji ufanyike mara moja, Waziri wa Sheria Prof. Kabudi tunamuomba asimamie jambo hili ili liweze kutekelezeka kwa masilahi ya wananchi.
 
Sheria zipo kwa ajili ya kiwa favor wenye hela/ mamlaka na kuwakandamiza watu wa chini.

Mitano iko Mungu IE Gekul mbunge alimwingiza chupa mtumishi wake hadi Leo hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani.

Polisi aliyewatuma wanajeshi kumfira BINTI WA YOMBO hadi Leo hajakamatwa wala kuhojiwa, mahakama kila siku inafanya vituko ili asishitakiwe.
 
Huyu anatufanya wajinga, unless aseme wanasitisha hilo zoezi na sio kukamilika. Huwezi kuniaminisha kwamba sheria zote za Tanzania zimetafsiriwa kwa kiswahili. Nakataa.
 
Zile Ze, ze ze U no, hii ni criminal zitapungua. Tutakuwa na mawakili kama walokole mitaani wanatembea hadi kwenye ma bus wakituhubiria sheria na vifungu kwa mbwembwe kabisa.
 
Back
Top Bottom