Mwanasheria na Msimamizi wa Wachezaji Dada Yasmine: TFF iachane upesi na Kocha Adel Amrouche kwasababu zifuatazo.....

Mwanasheria na Msimamizi wa Wachezaji Dada Yasmine: TFF iachane upesi na Kocha Adel Amrouche kwasababu zifuatazo.....

Amevunja sheria zipi za mpira au ukocha?

Watanzania huwa hawapendi kuambiwa ukweli na kubanwa kwenye ulaji.

Wa Algeria kwao mwiko kusema uongo, wana falsafa ya, ni heri umwambie mtu ukweli akuchukie kuliko kumwambia uongo akupende.
Undugu katika imaan unakufanya usiyaone mambo kwa uhalisia wake, hata huwa sikutilii maanani.
 
Narudia jambo ambalo nimesema humu ndani mara kwa mara na hadi kuna uzi niliwahi kuufungulia. Mzize aliitwa katika kikosi cha awali cha AFCON ila hakuitikia wito. Hakuna anayehoji hilo na usidhani hawajui hilo, kuwa makini kiwanja hiki hakiuzwi! Hizi ni fitna za kiswahili tu mkijua ama hana taarifa ya fitna mnazompiga huku mitandaoni na kwenye vyombo vya habari au kwa taaluma yake hawezi kutoka kujibizana na nyie.

Mlipomleta mlimsifia sana na kipindi kile mtu ungetoka kupinga kuchaguliwa kwake ungeonekana mchawi leo hii mmemgeuzia kibao. Kwa jinsi nature ya fitna na chuki ilivyo, unaweza kuta alikataa kuwa wakala wa hao kina Mzize kwa sababu labda hakuridhishwa na viwango vyao kuweza kusema awasimamie au awatafutie soko, mkaamua kumgeuzia kibao kusema alitaka kulazimisha awe wakala wao.

Mlimpamba kuwa siyo tu ni bonge la kocha ila ni mkufunzi wa makocha wengine hadi kina Nabi wamepitia kwake. Kiko wapiiii?

Mjuaji nimeongea!
 
Narudia jambo ambalo nimesema humu ndani mara kwa mara na hadi kuna uzi niliwahi kuufungulia. Mzize aliitwa katika kikosi cha awali cha AFCON ila hakuitikia wito. Hakuna anayehoji hilo na usidhani hawajui hilo, kuwa makini kiwanja hiki hakiuzwi! Hizi ni fitna za kiswahili tu mkijua ama hana taarifa ya fitna mnazompiga huku mitandaoni na kwenye vyombo vya habari au kwa taaluma yake hawezi kutoka kujibizana na nyie.

Mlipomleta mlimsifia sana na kipindi kile mtu ungetoka kupinga kuchaguliwa kwake ungeonekana mchawi leo hii mmemgeuzia kibao. Kwa jinsi nature ya fitna na chuki ilivyo, unaweza kuta alikataa kuwa wakala wa hao kina Mzize kwa sababu labda hakuridhishwa na viwango vyao kuweza kusema awasimamie au awatafutie soko, mkaamua kumgeuzia kibao kusema alitaka kulazimisha awe wakala wao.

Mlimpamba kuwa siyo tu ni bonge la kocha ila ni mkufunzi wa makocha wengine hadi kina Nabi wamepitia kwake. Kiko wapiiii?

Mjuaji nimeongea!
Mzize alikataa wito? hii mpya
 
Narudia jambo ambalo nimesema humu ndani mara kwa mara na hadi kuna uzi niliwahi kuufungulia. Mzize aliitwa katika kikosi cha awali cha AFCON ila hakuitikia wito. Hakuna anayehoji hilo na usidhani hawajui hilo, kuwa makini kiwanja hiki hakiuzwi! Hizi ni fitna za kiswahili tu mkijua ama hana taarifa ya fitna mnazompiga huku mitandaoni na kwenye vyombo vya habari au kwa taaluma yake hawezi kutoka kujibizana na nyie.

Mlipomleta mlimsifia sana na kipindi kile mtu ungetoka kupinga kuchaguliwa kwake ungeonekana mchawi leo hii mmemgeuzia kibao. Kwa jinsi nature ya fitna na chuki ilivyo, unaweza kuta alikataa kuwa wakala wa hao kina Mzize kwa sababu labda hakuridhishwa na viwango vyao kuweza kusema awasimamie au awatafutie soko, mkaamua kumgeuzia kibao kusema alitaka kulazimisha awe wakala wao.

Mlimpamba kuwa siyo tu ni bonge la kocha ila ni mkufunzi wa makocha wengine hadi kina Nabi wamepitia kwake. Kiko wapiiii?

Mjuaji nimeongea!
GENTAMYCINE sikuwahi Kumkubali huyu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche tokea anateuliwa na kama una Ushahidi ulio Kuntu na wa Kimaandishi wa Mimi Kumkubali hapa JamiiForums tafadhali upesi sana nakuomba uuweke Mkuu sawa?
 
Hao wageni walitusaisia nn hadi tuwaamini kiasi hcho, bara tukomae na hz janjajanja zetu pengine zikafanya kitu.
Kwa sasa hatuna kocha mzawa mzuri. Kama nchi tungekuwa na program za kuandaa makocha toka kwa wachezaji wetu waliotumikia taifa kwa muda mrefu kama akina Cannavaro ili wawe makocha wa Timu ya Taifa. Sasa angeandaliwa Mbwana Sammata apewe mikoba kwa siku za mbeleni ingesaidia.
 
GENTAMYCINE sikuwahi Kumkubali huyu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche tokea anateuliwa na kama una Ushahidi ulio Kuntu na wa Kimaandishi wa Mimi Kumkubali hapa JamiiForums tafadhali upesi sana nakuomba uuweke Mkuu sawa?
Hilo tu? Mbona dakika sifuri!

Post hii hapa chini uliwataja watu wengine kama ndiyo sababu ya wachezaji fulani kutoitwa au kupangwa. Leo zigo lote unamshushia yeye.

Iaminini na Ichukueni hii kwa 100% kwani GENTAMYCINE nikiingia Chimbo nikiibuka nakuja na Info ya uhakika ninayopewa na Wahusika au walio karibu na Mhusika / Wahusika.

Ni kwamba Mkurugenzi wa Ufundi ( TD ) wa TFF Osxar Mirambo kutokana na Uyanga wake anatumika kwa kupewa Bakshishi ( Kipoozeo ) na Kiongozi wa Juu wa Klabu ya Yanga SC ( mwenye Chuki na Kisasi kwa Feitoto ), Tajiri Mmoja mkubwa ( ambaye Kampuni yake kwa sasa imepewa Tenda na Rais Tshishekedi wa Congo DR kusafirisha Silaha zao kutoka Bandari ya Dar es Salaam ) na Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Serikalini ( mwenye Mwanya mkubwa kama Shimo la Panya ) ili tu ahakikishe Mchezaji Feisal Salum 'Feitoto' haitwi Kikosoni Taifa Stars ili Kuufifisha Umaarufu na Umuhimu wake katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars )

Ni Mpumbavu na Mwendawazimu tu pekee ndiyo kwa Kiwango Kikubwa alichonacho kwa sasa Feitoto, Ufungaji wake wa Magoli huku kwa sasa akiwa ni wa Pili nyuma ya Jean Othos Baleke na Kipaji Kikubwa na cha Kipekee alichonacho ataunga mkono kwa Yeye kutoitwa Kikosini Taifa Stars ila kwa akina GENTAMYCINE tunaojua Mpira tunakataa hi Hujuma ya Kimakusudi inayofanywa dhidi yake ili tu Kumkomoa Kijana wa Watu

Mkurugenzi wa Ufundi ( TD ) Oscar Mirambo tunakuonya badilika upesi kwani kwa Leo GENTAMYCINE nimeanza na hili ila nina Faili lako la Makandokando yako hapa TFF na kwanini unatumia Nguvu yako ya kuwa TD na Boss wa Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche kumpangia Wachezaji wa Kuwaita Taifa Stars na kwanini Kapombe na Tshabalala hawajaitwa kwa mara nyingine tena.

Nakuweka Kiporo Kwanza, ila fahamu tu ya kwamba kama GENTAMYCINE napewa Kutwa Taarifa za Ndani ( Jikoni ) za Simba na Yanga na huwa nazileta / nazimwaga hadharani hapa JamiiForums basi hata na Taarifa za Kukuhusu nazo huwa napewa tena na Watu unaowaamini na uko nao Kutwa ( 24/7 ) katika Shughuli zako.

Haya haya Wazee wa Kumkopi GENTAMYCINE The King, Purely Talented Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hapa JamiiForums akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe, Watangazaji wa Redio na Wachambuzi wa Michezo bila ya Kuwasahau Bloggers mkiichukua hii taarifa msisahau kutoa Credits Kwangu na hasa hasa kwa Mtandao wangu huu pendwa wa JamiiForums sawa?

Hatimaye nimeshaitekeleza ile Ahadi.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.

Cc: PakiJinja

Kuna uzi mwingine umesema Msuva ndiyo kampigia pande shemeji wake aingizwe timu ya taifa huku hana viwango halafu hapa unatetea hoja kuwa Msuva alikuwa na shida na Amrouche. Sasa Amrouche angewezaje kushawishika kumchukua mchezaji aliyeletewa na Msuva tena asiyekidhi viwango?
 
Kina Julio, Kanakamfumo, Mkwasa, Mgunda.😂😂
Unajisikiaje kuchangia Uzi wa Mtu ambaye kwa muda mrefu ulikuwa ukiwataka JamiiForums Moderators na hata JamiiForums Founder Mwenyewe WASINIFUNGULIE tena GENTAMYCINE hili Jukwaa la Michezo?
 
Unajisikiaje kuchangia Uzi wa Mtu ambaye kwa muda mrefu ulikuwa ukiwataka JamiiForums Moderators na hata JamiiForums Founder Mwenyewe WASINIFUNGULIE tena GENTAMYCINE hili Jukwaa la Michezo?
 
Hilo tu? Mbona dakika sifuri!

Post hii hapa chini uliwataja watu wengine kama ndiyo sababu ya wachezaji fulani kutoitwa au kupangwa. Leo zigo lote unamshushia yeye.



Kuna uzi mwingine umesema Msuva ndiyo kampigia pande mshkaji wake aingie timu ya taifa huku hana viwango halafu hapa unatetea hoja kuwa Msuva alikuwa na shida na Amrouche. Sasa Amrouche angewezaje kushawishika kumchukua mchezaji aliyeletewa na Msuva tena asiyekidhi viwango?
Huu Ushahidi wako Logically una connection yoyote ile ya Mimi ama Kumkubali au Kumkataa Kocha Mkuu Mpuuzi wa Taifa Stars Adel Amrouche?

Kwanini huwa mnaoenda Kunilazimisha GENTAMYCINE niwe Nawadharau kwakuwa hamna Akili?
 
Yasmine toka kuwa promota wa muziki hadi kuwa msimamizi wa wachezaji?

Hapo ugomvi wa kimaslahi kwa sie tunaendaga tff kufuatilia mambo yetu tunajua ni jinsi gani huku nyuma watu wanavyochunguliana
 
Yasmine toka kuwa promota wa muziki hadi kuwa msimamizi wa wachezaji?

Hapo ugomvi wa kimaslahi kwa sie tunaendaga tff kufuatilia mambo yetu tunajua ni jinsi gani huku nyuma watu wanavyochunguliana
Majungu na Wivu dhidi ya Dada Yasmine at Work now.
 
Back
Top Bottom