Mwanasheria wa kimataifa wa Lissu, Robert Amsterdam, asema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la Lissu kushambuliwa na watatoa taarifa ya uchunguzi huo

Mwanasheria wa kimataifa wa Lissu, Robert Amsterdam, asema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la Lissu kushambuliwa na watatoa taarifa ya uchunguzi huo

Ninyi ni watu wa PYU PYUU tu, inasikitisha sana. Kiongozi mkubwa wa nchi anatoa maelekezo na kubariki GENGE LA WAHUNI kushambulia mwanasiasa kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, eti kwa kuwa amezidiwa hoja tu?
Unanipigia kelele tu.
 
Kampeni za jiwe zinaenda kugubikwa na kashfa ya shambulio la Lisu. Huyu mzungu anafanya timing mbaya Sana. Kwann hakuyasema haya kabla?
Nikweli kabisa.
Ila kwa hapa kwetu Tanzania kashfa ambayo inaweza kumtikisa mtu na akapoteza trust kwa raia ni moja tu.....Kashfa ya "USHOGA".
Ila zilizobakia zote, wa bongo huwa tunajifanya hatuzioni wala kuzisikia.
Mfano:
Ufisadi, Rushwa, Mauaji yanayofanya na wasio julikana, Uonevu kwa wapinzani, na mengine mengi tu.
Hayo yote yametokea na yanaendelea kutokea katika jamii na hakuna reaction kutoka kwa raia, wachache tunabaki kuvimba nyuma ya keyboard na kuandika ' IPO SIKU TU'
Mtaani kuna kamsemo " Watajuana wenyewe".

Ila tuendelee kusubiri hiyo siku kwasababu siku hazija isha wakati huohuo tunaisha sisi.
 
Pia afrika mfumo ukishakutupa huna chako waweza fanywa chochote na aliyepo.

Huwezi ukawatembea mabaya wenzake then wakuache siku mfumo ukikutupa.Thus madikteta yote uopt kufia madarakani kitu ambacho awakifanikishi
Ipo siku tu, acha wajifurahishe leo kilevi kikiwa kichwani.

Kuna siku watajikuta ulevi wote haupo tena.
 
Nikweli kabisa.
Ila kwa hapa kwetu Tanzania kashfa ambayo inaweza kumtikisa mtu na akapoteza trust kwa raia ni moja tu.....Kashfa ya "USHOGA".
Ila zilizobakia zote, wa bongo huwa tunajifanya hatuzioni wala kuzisikia.
Mfano:
Ufisadi, Rushwa, Mauaji yanayofanya na wasio julikana, Uonevu kwa wapinzani, na mengine mengi tu.
Hayo yote yametokea na yanaendelea kutokea katika jamii na hakuna reaction kutoka kwa raia, wachache tunabaki kuvimba nyuma ya keyboard na kuandika ' IPO SIKU TU'
Mtaani kuna kamsemo " Watajuana wenyewe".

Ila tuendelee kusubiri hiyo siku kwasababu siku hazija isha wakati huohuo tunaisha sisi.
Unajua mkuu 'snowden', 'mind set' hizo ulizoziandika hapo ndizo wanazotakiwa kuzifanyia kazi wapinzani, kuzibadilisha.

Kwani unadhani kazi yao kubwa ni ipi? Kwa bahati mbaya, hao wapinzani kazi hiyo inawashinda kila mara.

Mimi nimeondokana na hii hali ya kuwalaumu wananchi kila mara. Wanaostahili lawama ni wapinzani. Kazi imewashinda.
 
Nikweli kabisa.
Ila kwa hapa kwetu Tanzania kashfa ambayo inaweza kumtikisa mtu na akapoteza trust kwa raia ni moja tu.....Kashfa ya "USHOGA".
Ila zilizobakia zote, wa bongo huwa tunajifanya hatuzioni wala kuzisikia.
Mfano:
Ufisadi, Rushwa, Mauaji yanayofanya na wasio julikana, Uonevu kwa wapinzani, na mengine mengi tu.
Hayo yote yametokea na yanaendelea kutokea katika jamii na hakuna reaction kutoka kwa raia, wachache tunabaki kuvimba nyuma ya keyboard na kuandika ' IPO SIKU TU'
Mtaani kuna kamsemo " Watajuana wenyewe".

Ila tuendelee kusubiri hiyo siku kwasababu siku hazija isha wakati huohuo tunaisha sisi.
Kabisaaaaah
 
Mkuu murder na attempted murder (assassination) siyo mchezo its very serious even in countries judiciary system is weak. Jamaa na genge lake hawachomoi.
Watatoa hukumu wakiwa kwao huko na itaishia huko walipo.
Hivi ww Ulaya ipi unakaa uko mtupu boya kabisa.
 
Unajua mkuu 'snowden', 'mind set' hizo ulizoziandika hapo ndizo wanazotakiwa kuzifanyia kazi wapinzani, kuzibadilisha.

Kwani unadhani kazi yao kubwa ni ipi? Kwa bahati mbaya, hao wapinzani kazi hiyo inawashinda kila mara.

Mimi nimeondokana na hii hali ya kuwalaumu wananchi kila mara. Wanaostahili lawama ni wapinzani. Kazi imewashinda.

Mpinzani ni nani?
 
Gazeti la "theafricareport"limechapisha habari(0nline) kuhusu mahojiano waliyofanya na Tundu Lissu, ambapo Lissu kaongea mambo kadhaa kuhusu utawala huu wa awamu ya tano na azima yake ya kurudi nyumbani.

Gazeti hilo pia linaonekana kufanya mahojiano na mwanasheria wa Tundu Lissu na yafuatayo ni maelezo ya mwanasheria huyo juu ya shambulio la Lissu na usalama wake ataporejea nyumbani:

=====

The Tanzanian opposition leader Tundu Lissu is heading home after three years of exile.

He will be arriving in Dar es Salaam on 28 July, hoping to run for the presidency on the Chadema party ticket in October elections.
“President Magufuli does not believe in the rule of law or democracy”, Lissu told The Africa Report’s podcast, Talking Africa.
“[Magufuli] has said on a number of occasions publicly that he would like to see Tanzania reverting back to the dark days of one party rule”, says Lissu, “and he has done a lot to see that vision come to fruition”.

Which can be illustrated, Lissu adds, by the fact that he has been in exile for the last three years.

“It’s not a matter of having a thin skin for criticism”, says Lissu speaking to President Magufuli’s reluctance to countenance debate. “He doesn’t have any skin at all”.

Instead, all criticism is met with repression, he says.
He should know.
In 2017, gunmen sprayed 30 rounds into his car, leaving him close to death

Robert Amsterdam, Lissu’s lawyer, says they are investigating the attempted assassination.

The probe has “turned up people with information, and at the appropriate time we will release what information we have established”, says Amsterdam.

“And we certainly want to let all those in Tanzania that the world will be watching upon his return”, adds Amsterdam, who says he is writing a formal memo to Tanzanian authorities, “putting them on notice that their behaviour will be scrutinised not only by the judiciary in Tanzania but by international fora outside Tanzania.”

Amsterdam, whose firm was behind the extraction of Bobi Wine at the height of opposition repression in Uganda, believes that turning to Washington is no longer the answer.

Instead, he believes the increased influence of the European Union and Asia, and the growth of communications technology, has changed the game opposition leaders in East Africa.

Despite pronouncements from the World Bank that Tanzania will reach middle income status five years early, Lissu says the World Bank is ‘credulous’ in accepting the statistics.

Lissu is trying to put together a national opposition alliance, including the Zanzibari nationalists, disputing attempts to characterise them as Islamist in motivation.

He warns that if Tanzania is allowed to slide into chaos, as he predicts under Magufuli, then it will rob the region of the country’s traditional ‘shock-absorber’. The country often provides shelter for refugees fleeing internal violence.

Lissu is also skeptical of President Magufuli’s ‘war on corruption’, saying it is just way of raising cash. “It’s a mafia shakedown”, he says.

Source: The Africa Report

Tatizo la kuanzisha mada ya aina hii ni kutahayarisha mamlaka zihakikishe Lissu hapati kabisa nafasi ya kugombea uongozi wowote nchini.

Ninavyoelewa, wanaopanga kuleta mabadiliko makubwa au kuwachukulia hatua kali waliopo madarakani leo, hawatangazi mawazo wala mipango yao hadi washike dola. Hiyo inaitwa “stealth effect”. Rejea kidogo mfano wa Angola au hata awamu hii hapa kwetu. Kuna watu ndani ya chama tawala hawakutarajia kupata “ubatizo wa moto”.
 
Back
Top Bottom