Mwanasheria wa kimataifa wa Lissu, Robert Amsterdam, asema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la Lissu kushambuliwa na watatoa taarifa ya uchunguzi huo

Mwanasheria wa kimataifa wa Lissu, Robert Amsterdam, asema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la Lissu kushambuliwa na watatoa taarifa ya uchunguzi huo

Sipati picha unazunguka kupiga kampeni na pushup nchi nzima kuomba nafasi ya juu huku ushahidi wa wazi unawekwa hadharani kushiriki kwako kutenda "makosa" hayo makubwa kwa binadamu.
Makosa ya kumuenzi mhalifu na kumhukumu mwenyeheri yalifanyika wakati wa karne ya kwanza na hayarudii tena.
Ni pale wayahudi walipo amua kumuachia Baraba muuaji na kumhukumu Yesu auwawe. Kosa lile haliwezi kurudia tena kwa wanadamu wa sasa. Kampeni za mwaka huu zitakuwa badala ya kujisifu habari ya ndege, SGR, sijui Madaraja ni kujitetea kuhusu "maovu" yenye ushahidi
 
Aliyemshambilia ni yule aliyekuwa analinda uenyekiti wake usichukuliwe. Tunajua na mtaelewa. Na Wengi waliokuwa waratibu wameikimbia Chadema Kiroho safi na Wachache wamebaki
Zile SILAHA ZA KIVITA zinamilikiwa na mamlaka gani hapa nchini? Halafu Serikali hii inayopenda sifa isimchukulie hatua yeyote ile hadi sasa? Wewe UVCCM hebu muwe mnaongea huo upuuzi na familia zenu huko.
 
We unasema reaction ni ushoga? Hujawahi kuibiwa mali ukaona mwizi kitu wananchi wanamfanya😂😂😂???
Sipo huko mkuu...
Nazungumzia reactions za raia dhidi ya serikali kwa ujumla, huwa tuna react nyuma ya keyboard tena wachache.
Mfano.
Mgao wa ESCROW raia tuli react tukiwa nyuma ya keyboard, hatakama tuliambia pesa sio za umma.
 
Sipo huko mkuu...
Nazungumzia reactions za raia dhidi ya serikali kwa ujumla, huwa tuna react nyuma ya keyboard tena wachache.
Mfano.
Mgao wa ESCROW raia tuli react tukiwa nyuma ya keyboard, hatakana tuliambia pesa sio za umma.
Sio kwamba hatupendi ila tatizo ni Mabiti ya Kamanda Muroto 🤣🤣🤣!!!

"Watapigwa watachakaa!"

Sasa kwa hali hio utatoa pua uraiani na bango sijui black lives matter?
 
Sipati picha unazunguka kupiga kampeni na pushup nchi nzima kuomba nafasi ya juu huku ushahidi wa wazi unawekwa hadharani kushiriki kwako kutenda "makosa" hayo makubwa kwa binadamu.
Makosa ya kumuenzi mhalifu na kumhukumu mwenyeheri yalifanyika wakati wa karne ya kwanza na hayarudii tena.
Ni pale wayahudi walipo amua kumuachia Baraba muuaji na kumhukumu Yesu auwawe. Kosa lile haliwezi kurudia tena kwa wanadamu wa sasa. Kampeni za mwaka huu zitakuwa badala ya kujisifu habari ya ndege, SGR, sijui Madaraja ni kujitetea kuhusu "maovu" yenye ushahidi
Cjui mnyakyusa ww wp unakuwa pimbi kuasi hicho...bila shaka wee ni mnyasa wa malawi
 
Sipati picha unazunguka kupiga kampeni na pushup nchi nzima kuomba nafasi ya juu huku ushahidi wa wazi unawekwa hadharani kushiriki kwako kutenda "makosa" hayo makubwa kwa binadamu.
Makosa ya kumuenzi mhalifu na kumhukumu mwenyeheri yalifanyika wakati wa karne ya kwanza na hayarudii tena.
Ni pale wayahudi walipo amua kumuachia Baraba muuaji na kumhukumu Yesu auwawe. Kosa lile haliwezi kurudia tena kwa wanadamu wa sasa. Kampeni za mwaka huu zitakuwa badala ya kujisifu habari ya ndege, SGR, sijui Madaraja ni kujitetea kuhusu "maovu" yenye ushahidi
Duuh sory mkuu..
 
Aliyemshambilia ni yule aliyekuwa analinda uenyekiti wake usichukuliwe. Tunajua na mtaelewa. Na Wengi waliokuwa waratibu wameikimbia Chadema Kiroho safi na Wachache wamebaki
Cjui wee mnyakyusa wa wp unakuwa pimbi kiasi hicho..bila shaka ww ni mnyasa wa malawi...
 
Ndiyo maana wamewaongeza wengine wapewe kinga ya kutoshtakiwa, akina Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu

Wanachosahau hao watu ni kuwa kesi ya jinsi huwa haifi, hata ipite miaka kadhaa
Kinga ya kutoshtakiwa wakiwa kwenye system wakitoka jela ipo palepale.Mfumo ukishakutupa unafanywa chochote na aliyepo,Kinga sio msahafu ni makaratasi yanabadilishwa mda wowote tu
 
Gazeti la "theafricareport"limechapisha habari(0nline) kuhusu mahojiano waliyofanya na Tundu Lissu, ambapo Lissu kaongea mambo kadhaa kuhusu utawala huu wa awamu ya tano na azima yake ya kurudi nyumbani.

Gazeti hilo pia linaonekana kufanya mahojiano na mwanasheria wa Tundu Lissu na yafuatayo ni maelezo ya mwanasheria huyo juu ya shambulio la Lissu na usalama wake ataporejea nyumbani:

=====

The Tanzanian opposition leader Tundu Lissu is heading home after three years of exile.

He will be arriving in Dar es Salaam on 28 July, hoping to run for the presidency on the Chadema party ticket in October elections.
“President Magufuli does not believe in the rule of law or democracy”, Lissu told The Africa Report’s podcast, Talking Africa.
“[Magufuli] has said on a number of occasions publicly that he would like to see Tanzania reverting back to the dark days of one party rule”, says Lissu, “and he has done a lot to see that vision come to fruition”.

Which can be illustrated, Lissu adds, by the fact that he has been in exile for the last three years.

“It’s not a matter of having a thin skin for criticism”, says Lissu speaking to President Magufuli’s reluctance to countenance debate. “He doesn’t have any skin at all”.

Instead, all criticism is met with repression, he says.
He should know.
In 2017, gunmen sprayed 30 rounds into his car, leaving him close to death

Robert Amsterdam, Lissu’s lawyer, says they are investigating the attempted assassination.

The probe has “turned up people with information, and at the appropriate time we will release what information we have established”, says Amsterdam.

“And we certainly want to let all those in Tanzania that the world will be watching upon his return”, adds Amsterdam, who says he is writing a formal memo to Tanzanian authorities, “putting them on notice that their behaviour will be scrutinised not only by the judiciary in Tanzania but by international fora outside Tanzania.”

Amsterdam, whose firm was behind the extraction of Bobi Wine at the height of opposition repression in Uganda, believes that turning to Washington is no longer the answer.

Instead, he believes the increased influence of the European Union and Asia, and the growth of communications technology, has changed the game opposition leaders in East Africa.

Despite pronouncements from the World Bank that Tanzania will reach middle income status five years early, Lissu says the World Bank is ‘credulous’ in accepting the statistics.

Lissu is trying to put together a national opposition alliance, including the Zanzibari nationalists, disputing attempts to characterise them as Islamist in motivation.

He warns that if Tanzania is allowed to slide into chaos, as he predicts under Magufuli, then it will rob the region of the country’s traditional ‘shock-absorber’. The country often provides shelter for refugees fleeing internal violence.

Lissu is also skeptical of President Magufuli’s ‘war on corruption’, saying it is just way of raising cash. “It’s a mafia shakedown”, he says.

Source: The Africa Report
Mungu mbariki Lissu, Mabeberu meusi ya Chatto yavimbe yafure yapasuke
 
Ujinga mtupu bado akifika ana kesi za kujibu anafikiri nchi hii ni ya mama yake tunataka apewe fundisho ambalo mwingine hatathubutu kurudia mm naona hata magolori Yale yalimstahili jitu saliti
Mjinga marehemu Mama na baba yako waliozaa Toto pumbavu Kama ww lisilokuwa na akili hata ya kuvuka barabara!

Ww Ni Nani hata uamue Nani aishi Nani auawe, kenge wa Pakistan!
 
Back
Top Bottom