Mwanasheria wa P Diddy afichua sababu za rapa huyo kutunza chupa 1000 za mafuta nyumbani kwake

Mwanasheria wa P Diddy afichua sababu za rapa huyo kutunza chupa 1000 za mafuta nyumbani kwake

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakati dunia ikiwa busy kujiuliza kwanini P Diddy alikutwa na chupa takriban 1000 za mafuta ya watoto kipindi anakamatwa na FBI, mwanasheria wa msanii huyo amejitokeza hivi karibuni kujibu tuhuma hizo.

Akizungumza na TMZ, Marc Agnifilo alisema kuwa Diddy ana nyumba kubwa kwa hivyo ananunua vitu vyake kwa wingi na kwamba kwa Diddy hicho ni kitu cha kawaida sana kwani huwa na Costcos karibu kwenye kila nyumba anayoishi

Soma Pia:

“He has a big house, he buys in bulk. I think they have Costcos in every place where he has a home.”

Pop.png
 
Wakati dunia ikiwa busy kujiuliza kwanini P Diddy alikutwa na chupa takriban 1000 za mafuta ya watoto kipindi anakamatwa na FBI, mwanasheria wa msanii huyo amejitokeza hivi karibuni kujibu tuhuma hizo.

Akizungumza na TMZ, Marc Agnifilo alisema kuwa Diddy ana nyumba kubwa kwa hivyo ananunua vitu vyake kwa wingi na kwamba kwa Diddy hicho ni kitu cha kawaida sana kwani huwa na Costcos karibu kwenye kila nyumba anayoishi

Soma pia: Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga



kwahiyo watoto wanakuja kupakwa mafuta hapo kwake au sijaelewa
 
Kwa hio kila mwenye nyumba kubwa akinunua chupa za mafuta ya watoto 1000 ni kawaida?

Huyo mwanasheria jibu lake bado linatia mashaka...
Costco ni kampuni inayouza bidhaa mbali mbali kwa wateja wake kwa jumla na reja reja kwa bei ya chini kidogo kama ukiwa na membership...
 
Hivi huyu jamaa anatuhumiwa kwa makosa yepi hasa?

Kua na idadi kubwa ya hayo mafuta ni kosa kisheria US?

Halafu wazungu si ndio wanashadadia haya mambo ya watu kulana marinda? kwa hiyo hilo nalo pia ni kosa anatuhumiwa nalo huko US?

Hao aliowala marinda (Kama ni kweli) aliwabaka au ni kwa tamaa zao tu?

Anayejua tuhuma za huyu jamaa atuwekee hapa.
 
Back
Top Bottom