Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mwanasheria wa P DiddyUnga wa sembe
Mapipa ya bamia
Madebe ya chumvi
Magunia 500 ya mkaa.
situnzi naenda kuopolea kimwana huko! hii yakwako ishabuma hapo subiri tu akubadili cheo uwe single mama tu..😅Mdogo wangu, shemeji umempata na harusi tunayo. Wewe tunza ile tux niliyokwambia ushone.
Mimi ni jirani wa mjomba wa jirani yake P Didy hapa Kigamboni.Sawa mwanasheria wa P Diddy
Siyapendi hayo mafuta kuanzia harufu muonekano na kila kitu yaan nikiingia nyumba nikakuta watoto wanapakwa hayo mafuta mashetani yangu lazima yapande kichwani ile harufu tu ya hayo mafuta inanikera vibaya kuna mafuta mengine ya cocoa butter ila yenyewe ni km hayo yapo ya mgando pia yapo ya mengine km hayo hayo pia bwana harufu yake nikikuta sehemu mtoto amepakwa hayo mafuta napandwa na kipanda uso sipendi harufu yake yananitibua akili nayachukia kumbe huko duniani wanayatumia kinyume na matumizi ndio maanaMafuta ya mwanangu hayo hadi nikiyaona naogopa, Diddy jamani!
Hatuja ambiwa kama alikuwa ana tumia mwenyeweChupa 1000 !!!!
Ahsante Kwa taarifa jirani wa jirani wa Mjomba wa Diddy kutoka maeneo ya kigamboni.Mimi ni jirani wa mjomba wa jirani yake P Didy hapa Kigamboni.
Unayaogopa ili hali kila mara unayatumia au kwa vile yamekutwa kwa PuffyMafuta ya mwanangu hayo hadi nikiyaona naogopa, Diddy jamani!
Shauri yako, sitaki lawama baadaye utakapokosa mwaliko.situnzi naenda kuopolea kimwana huko! hii yakwako ishabuma hapo subiri tu akubadili cheo uwe single mama tu..😅
mh! kwako sihitaji kadi wala mualiko!Shauri yako, sitaki lawama baadaye utakapokosa mwaliko.
Wakati unampondea shemeji? Mualiko labda mwenyewe akusamehe, umeyatimba.mh! kwako sihitaji kadi wala mualiko!
Ukiachilia mbali mafuta, vitu gani vingine ananunua "in bulk" na vilikutwa vingi nyumbani kwake?
nisipoalikwa mimi hapati mke..🤣Wakati unampondea shemeji? Mualiko labda mwenyewe akusamehe, umeyatimba.
🤣🤣🤣Bro kuwaelesha wa Tz ni majinga sana yenyewe ndani yamekalili kujaza maviroba ya unga na madagaa na maharage ya mbea kuogopa njaa.....