Mwanasheria wa P Diddy afichua sababu za rapa huyo kutunza chupa 1000 za mafuta nyumbani kwake

Mwanasheria wa P Diddy afichua sababu za rapa huyo kutunza chupa 1000 za mafuta nyumbani kwake

20240925_215011.jpg
 
Mafuta ya mwanangu hayo hadi nikiyaona naogopa, Diddy jamani!
Siyapendi hayo mafuta kuanzia harufu muonekano na kila kitu yaan nikiingia nyumba nikakuta watoto wanapakwa hayo mafuta mashetani yangu lazima yapande kichwani ile harufu tu ya hayo mafuta inanikera vibaya kuna mafuta mengine ya cocoa butter ila yenyewe ni km hayo yapo ya mgando pia yapo ya mengine km hayo hayo pia bwana harufu yake nikikuta sehemu mtoto amepakwa hayo mafuta napandwa na kipanda uso sipendi harufu yake yananitibua akili nayachukia kumbe huko duniani wanayatumia kinyume na matumizi ndio maana
 
wazee me nikishinda na mbususu siku nzima nikapiga mishindo ya kueleweka basi sina hamu ata siku 2, 3 wengine kupiga hadi kutoa upepo sio ishu asee! huyu nigga ana sex drive ya aje? Vilainishi vyote hvo?

Itakua vya massage
 
Sijui kwa nini hizo nchi zinazoshadidia ushoga ndio zinakuwa kipaumbele kusumbua watu hao..
 
Huyo makosa yake ni pamoja na kuendesha biashara ya ukahaba, kutumia watu kujinufaisha na alikuwa analazimisha watu kunyonyoana wakiwa under influence ya madawa ya kulevya waliyokuwa wanawekewa pasipo kujua. Yote yaliyokuwa yafanyika ktk party zake yalikuwa yanarekodiwa kisiri.
 
Back
Top Bottom