Pre GE2025 Mwanasiasa aliyejibrand akiwa upinzani hawezi kung'aa akihamia CCM, hiki kitamtesa sana Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hili hata Mzee Mgaya anajuwa.
 
John, John leo umekuwa Yohane mbatizaji.
ulonena halina ubishi.
huyu fisadi wa ngono ndo kwishney
 

Attachments

  • FB_IMG_1721892194992~2.jpg
    425.4 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1719903155204.jpg
    51.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240702-230508_X.jpg
    49.8 KB · Views: 4
Pasta feki hana Jipya, yaani afadhali hata na kina Mdee walau kidogo watu tulishughulika.
 
Msigwa, CCM wamemfanya kinyago. Ukinunuliwa, hata siku moja, aliyekununua hawezi kukuheshimu.
 
Kapi angejifunza kwa waitara,Bora angelinda heshima kwa kustaafu siasa na kurejea uchungaji.
 
Kama ukuweza kujiuza enzi za Maghufuli kwa bei ghali huna jipya kwa zama hizi.Bora ulinde heshima yako kwa kustaafu siasa
 
Msigwa ni wakinga na wengine wapangwa wa Ludewa huko......kwa Marehemu Kolimba...na yule alianguka helicopter na Baba yake Jerry Slaa
 
Msigwa kapotea mazima. Matusi dhidi ya Mbowe yameisha.
 
Mwanasiasa yoyote aliyejenga jina lake Kisiasa akiwa Chama cha upinzani hawezi kung'aa akihamia CCM.
Sasa kwani huko upinzani alikojibrand kuna nini cha maana? Hiyo chadema yenyewe si amebaki mtu mmoja tu anayeendesha chama kama kampuni yake binafsi na wafuasi wake ambao ni nyumbu hawana hata uwezo wa kumhoji kitu chochote? Kwa mwanasiasa anayejitambua kuendelea kubaki chadema ni kukidharirisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…