Mwanasiasa / Kiongozi mkubwa kutoa ' Tamko ' pasipo ' Ukomo ' wake ni Kiashirio cha Uweledi wake au Kupotoka Kwake?

Boss GENTAMYCINE Unaanza kutofautiana na Chama chako na Msimamo wao. Angalia wasikutenge.


 
BaShite naye katoa aMri ya kubaa balakoa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss GENTAMYCINE Mimi binafsi nakuelewa, Tatizo Watetezi wao humu, Yaani Mtu ukiwa na Mtazamo tofauti nao ni Kosa, wanachotaka ni Praise Team

Kuna tofauti kati ya Kuwakosoa na Kuwadhalilisha. Ninachokifanya Mimi Siku zote ni Kuwakosoa kwa Kuwajenga zaidi Boss.
 
point yako ni nini dada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…