Pre GE2025 Mwanasiasa Pekee wa CCM anayeweza kushindana na Tundu Lissu kwenye nafasi ya Urais ni Paul Makonda

Pre GE2025 Mwanasiasa Pekee wa CCM anayeweza kushindana na Tundu Lissu kwenye nafasi ya Urais ni Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hili waweza kulibishia kwakua ni Mbishi tu.

Kwenye Siasa, Mvuto ni muhimu sana na huu Mvuto mara nyingi ni wa kuzaliwa.

TUNDU LISSU ana Mvuto sana Kwa Gen-Z maana ndio kizazi chenye Elimu inayowatoa Ujinga, na KURA za mijini ambapo wasomi na wale wanaamini CCM imekaa sana madarakani inabidi itolewe ndo wamejaa walakini TUNDU LISSU atakoswa Kura nyingi za Vijijin ambako watu wanaamini AMANI inaletwa na CCM.

Paul Makonda, huyu atabeba kura zote za Gen-Z, wasomi wa mjini kuanzia watoto mpaka Wazee, Vijijin kote atabeba Kwa Faida ileile ya Amani inaletwa na CCM, Kura atakazokosa ni Kura za wanaoamin CCM Imekaa madarakani muda mrefu.

PAUL MAKONDA, NI EDWARD LOWASA, NYERERE, MAGUFULI, SOKOINE WA LEO.

Kwa Nyuma yake ndo utamuona GWAJIMA BISHOP mwenye Elimu na Mvuto.

Kuna Wana CCM wanauwezo mkubwa sana kichwani kama Akina MPINA, BASHUNGWA , MCHENGERWA na wengineo sema hawana Ile Amsha amsha inayoweza kuwapa wafuasi weeengi nyuma yao.

Kwa Maana hiyo sio Kila mwenye Elimu na Uwezo mzuri kichwan anafaa kua Rais.

MTU ni WATU.

Siku atakayogombea MH Paul Makonda atakapohombea Urais, awe Ndani ya CCM au Nje, Nitampigia Kura ya Ndio.
 
Uenyekiti tu wa Chadema anaenda kubwagwa chini sembuse uraisi?
 
Eeh
20250104_215130.jpg
 
Kwa elimu gani Makonda ashindane na Lissu?

Acha masihara Tanzania tulisha choka comedians wa siasa.
Uongozi ni zaidi ya Elimu!! . Tena Elimu zenyewe hizi za Bongo ambazo Msomi wa Masters hawezi kabisa kuweka kwenye matendo kile alichokisomea.
 
Hili waweza kulibishia kwakua ni Mbishi tu.

Kwenye Siasa, Mvuto ni muhimu sana na huu Mvuto mara nyingi ni wa kuzaliwa.

TUNDU LISSU ana Mvuto sana Kwa Gen-Z maana ndio kizazi chenye Elimu inayowatoa Ujinga, na KURA za mijini ambapo wasomi na wale wanaamini CCM imekaa sana madarakani inabidi itolewe ndo wamejaa walakini TUNDU LISSU atakoswa Kura nyingi za Vijijin ambako watu wanaamini AMANI inaletwa na CCM.

Paul Makonda, huyu atabeba kura zote za Gen-Z, wasomi wa mjini kuanzia watoto mpaka Wazee, Vijijin kote atabeba Kwa Faida ileile ya Amani inaletwa na CCM, Kura atakazokosa ni Kura za wanaoamin CCM Imekaa madarakani muda mrefu.

PAUL MAKONDA, NI EDWARD LOWASA, NYERERE, MAGUFULI, SOKOINE WA LEO.

Kwa Nyuma yake ndo utamuona GWAJIMA BISHOP mwenye Elimu na Mvuto.

Kuna Wana CCM wanauwezo mkubwa sana kichwani kama Akina MPINA, BASHUNGWA , MCHENGERWA na wengineo sema hawana Ile Amsha amsha inayoweza kuwapa wafuasi weeengi nyuma yao.

Kwa Maana hiyo sio Kila mwenye Elimu na Uwezo mzuri kichwan anafaa kua Rais.

MTU ni WATU.

Siku atakayogombea MH Paul Makonda atakapohombea Urais, awe Ndani ya CCM au Nje, Nitampigia Kura ya Ndio.
Ukiambiwa mavi nayo yana protini nyingi sana hilo halimaanishi lazima ule mavi.
 
Lissu amepoteza kibali kwa sasa katika ulimwengu wa roho.
Uungwaji wake mkono umeanza kushuka.
Nadhani, hii imechangiwa na jinsi anavyoropoka pasi kujizuia.
Mlio karibu naye mshaurini hili.
Rekodi yake ni nzuri, lakini kwa
sasa anajiharibia nionavyo mimi.
 
Mvuto haupatikani kwa kuwanunua/honga watu. Ni upumbavu kuamini kuwa lowasa alikuwa na mvuto.
 
Lissu amepoteza kibali kwa sasa katika ulimwengu wa roho.
Uungwaji wake mkono umeanza kushuka.
Nadhani, hii imechangiwa na jinsi anavyoropoka pasi kujizuia.
Mlio karibu naye mshaurini hili.
Rekodi yake ni nzuri, lakini kwa
sasa anajiharibia nionavyo mimi.
Utakuwa hapo umevaa shati lako la zambarau kuubwa na umelichomekea na suruali yako ya njano hapo Kawe unasubiri maji ya upako na chumvi, jasho linakutoka sio mchezo.
 
Huyo lissu ana mvuto kwako ila sio kwa watanzania wote
 
Utakuwa hapo umevaa shati lako la zambarau kuubwa na umelichomekea na suruali yako ya njano hapo Kawe unasubiri maji ya upako na chumvi, jasho linakutoka sio mchezo.
Kabisa kabisa, nasubiri maji ya upako na chumvi, ili nimshughulikie mama yako usiku huu hadi aombe poo.. si unajua yanaongeza nguvu haya?
 
Afya ya akili tayari ni tatizo kubwa.
 
Hili waweza kulibishia kwakua ni Mbishi tu.

Kwenye Siasa, Mvuto ni muhimu sana na huu Mvuto mara nyingi ni wa kuzaliwa.

TUNDU LISSU ana Mvuto sana Kwa Gen-Z maana ndio kizazi chenye Elimu inayowatoa Ujinga, na KURA za mijini ambapo wasomi na wale wanaamini CCM imekaa sana madarakani inabidi itolewe ndo wamejaa walakini TUNDU LISSU atakoswa Kura nyingi za Vijijin ambako watu wanaamini AMANI inaletwa na CCM.

Paul Makonda, huyu atabeba kura zote za Gen-Z, wasomi wa mjini kuanzia watoto mpaka Wazee, Vijijin kote atabeba Kwa Faida ileile ya Amani inaletwa na CCM, Kura atakazokosa ni Kura za wanaoamin CCM Imekaa madarakani muda mrefu.

PAUL MAKONDA, NI EDWARD LOWASA, NYERERE, MAGUFULI, SOKOINE WA LEO.

Kwa Nyuma yake ndo utamuona GWAJIMA BISHOP mwenye Elimu na Mvuto.

Kuna Wana CCM wanauwezo mkubwa sana kichwani kama Akina MPINA, BASHUNGWA , MCHENGERWA na wengineo sema hawana Ile Amsha amsha inayoweza kuwapa wafuasi weeengi nyuma yao.

Kwa Maana hiyo sio Kila mwenye Elimu na Uwezo mzuri kichwan anafaa kua Rais.

MTU ni WATU.

Siku atakayogombea MH Paul Makonda atakapohombea Urais, awe Ndani ya CCM au Nje, Nitampigia Kura ya Ndio.
Huyo mtekaji na muuaji anakubalika huko Arusha baada ya kuwarejeshea mali wote waliodhulumiwa na Serikali na chama chetu tawala.
 
Back
Top Bottom